Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Kama swala ni uzalendo tukumbuke kuwa katika vilabu kuna wachezaji wanacheza ambao sio watanzania, wanacheza kwa sababu wameajiliwa na wanafanya hivyo kama kitu kinachowapa furaha(pesa) kama kwenye vilabu kuna wazalendo na uzalendo vipi kuhusu wachezaji wa kigeni wanaochezea team hizi? Nao watacheza kizalendo au watacheza kama akina nani?

Suala hili sio dogo na ni swala la kushangaza sana.
 
Umeandika ujinga tu hapa. Kama una uwezo wa kuvaa hizo jezi na kwenda kuwashangilia hao wageni, si uvae! Huna sababu ya kulialia humu jukwaani kama mtoto mchanga na hao wenzako.
Hakuna mtu analia hapa tunazungumza kuona ni jinsi gani msivyo na akili wew na huyo mjinga mwenzio msiojua katiba ya nchi hasa katika uhuru wa mtu binafsi. Afu swala la mwanainchi kulalamikia/kulilia serikali yake ndio democrasia yenyewe, nyie mang'ombe endeleeni kuburuzwa
 
Sipendi majibizano marefu na watu ambao hawajafikia viwango vya kujibizana nami na ninwazi wanaangusha standard za majadiliano.

Umepoteza privilege za kujibizana nami moja kwa moja.

Nakupeleka ignore list.

I can only entertain rational argument I am afraud.

Kuanzia hapa sitaona chochote utakachoandika.
Acha ujinga wako wewe. Kwani ukinipeleka huko ignore list utanipunguzia nini!
 
Hakuna mtu analia hapa tunazungumza kuona ni jinsi gani msivyo na akili wew na huyo mjinga mwenzio msiojua katiba ya nchi hasa katika uhuru wa mtu binafsi. Afu swala la mwanainchi kulalamikia/kulilia serikali yake ndio democrasia yenyewe, nyie mang'ombe endeleeni kuburuzwa
Wakati fulani ng'ombe zinatakiwa ziswagwe kwa viboko. Na nitafurahi sana hiyo siku mkicharazwa viboko kutokana na huu ujinga wenu.
 
Hakuna mtu analia hapa tunazungumza kuona ni jinsi gani msivyo na akili wew na huyo mjinga mwenzio msiojua katiba ya nchi hasa katika uhuru wa mtu binafsi. Afu swala la mwanainchi kulalamikia/kulilia serikali yake ndio democrasia yenyewe, nyie mang'ombe endeleeni kuburuzwa
Nasubiri majibu hapa. Unaleta uzalendo kwenye clab kuna critical thinking hapa?

Tangu lini clabu ikaleta uzalendo kwenye nchi au ikaheshimisha nchi?

Ivorycost na Nigeria wameingia finally Afcon nitajie ni clab gani kwenye hizi nchi imewahi kuchukua clab bingwa Africa, au clab gani inawapa heshima kama taifa, ukilinganisha na Team ya taifa,

Leo serikali imeshindwa kuleta uzalendo kwa kuithamini team ya Taifa na kuweka mipango ambayo itaheshimisha wachezaji wazawa Iwa motivate iwatengenezee platform nzuri ya kuwakuza ili itangaze taifa leo wanaleta kelele kwenye clubs ambazo ni mali za watu,

Clubs ambazo hadi kufika hapo ni juhudi binafsi za wawekezaji binafsi ambao wameweka mipango kazi yao na kuwekeza pesa zao hadi wamefika hapo leo unakuja kuitetea clab na kuiona mali ya Taifa hata Budget ya Yanga na simba huijui huo si utahira kabisa

Club haijawahi kuwa mali ya Taifa club ni mali ya mwekezaji mkitaka uzalendo tafteni kocha mzuri wa TAIFA STARS WEKEZENI KWA TAIFA STARS, FUNGUENI ACCADEMY ZA KUINUA VIPAJI KWA AJILI YA KUPATA PROFESSIONAL PLAYERS AMBAO WATAIWAKILISHA NCHI,

LEO UNATAKA AZIZ KI, NA ENOKI ENONGA WAPIGANIE UZALENDO WA TAIFA LA TANZANIA MNAUMWA.
 
Risala ndefuu, halafu yote ni [emoji100] tu. Yaani mijitu mizima na akili zenu mnalilia vitu vya kipuuzi!

Kwani msipovaa hizo jezi au kuwashangilia hao wageni, mtapungukiwa nini? Kama siyo ujinga tu unaowasumbua
Kwani na sisi tukivaa hizo jezi za wageni hao waropokaji na wewe mtapungukiwa na Nini some time uwe una acha upumbavu, pumbav
 
Iko siku tutapigwa marufuku hata kuoa/kuolewa na wageni, kwasababu ya huu wanaouita uzalendo.
Nasamaje Yanga wapigwe hata dazani,mimi sio Mzalendo hata ingekuwa taifa Stars ningesema hivyo hivyo wapigwe tu
 
PMP MEMBER, poor minded people. Hii kampuni imekuwa sana hapa nchini[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Eti na wajinga wenzako mnajiona mna akili timamu kulalamika kuzuiliwa kuvaa jezi za timu za nje na kuzishangilia!! Nyinyi ni Ma hopeless ya mwisho kabisa.

 
Risala ndefuu, halafu yote ni 💨 tu. Yaani mijitu mizima na akili zenu mnalilia vitu vya kipuuzi!

Kwani msipovaa hizo jezi au kuwashangilia hao wageni, mtapungukiwa nini? Kama siyo ujinga tu unaowasumbua
Wewe ndo ****, kwani kushangilia Simba na Yanga ni lazima..?
 
Sasa ukiona watu wote wpo kinyume na mtazamo wako ujue ww ndio tatzo mkuu, na bado haustuki yani
Mimi siwezi kuwa tatizo. Tatizo kubwa mnalo nyinyi ambao mnaona ni sahihi kujipendekeza kwa wageni, kwa lengo tu la kufikiri mnawakomoa watu wa upande mwingine!

Na mwisho wa siku kuonekana ni wajinga tu mbele ya hao wageni. Kwa hiyo nitaendelea kuliunga mkono hilo tamko la Waziri hata kama haliwafurahishi watu wenye mtazamo kama wako.
 
Waziri endelea na msimamo wako tena ongeza na adhabu ya bakora kwa watakao kiuka agizo lako.
Hakuna Caf/ Fifa watakao tufungia kwa ilo nina uhakika wa 100% .
Tena utakua umeisaidia sana Tff ili swala lilikua likiwaumiza ila walikua hawana jinsi.
 
Back
Top Bottom