Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Waziri endelea na msimamo wako tena ongeza na adhabu ya bakora kwa watakao kiuka agizo lako.
Hakuna Caf/ Fifa watakao tufungia kwa ilo nina uhakika wa 100% .
Tena utakua umeisaidia sana Tff ili swala lilikua likiwaumiza ila walikua hawana jinsi.
I wish Waziri angewapa hilo jukumu la kuwadhibiti hawa nyumbu wasio jitambua, vijana wetu wa Suma JKT! Yaani zinakuja nyumbu na jezi zao kuwashangilia hao wageni; ni kucharaza tu bakora za kwenye makalio mpaka akili ziwakae sawa.

Siku zote hakuna uhuru usio na mipaka. Vilabu vya nje miaka nenda vimekuwa vikituona Watanzania kama watu tusiojitambua/nyumbu, kwa sababu tu ya ujinga wa watu/nyumbu wachache.
 
I wish Waziri angewapa hilo jukumu la kuwadhibiti hawa nyumbu wasio jitambua, vijana wetu wa Suma JKT! Yaani zinakuja nyumbu na jezi zao kuwashangilia hao wageni; ni kucharaza tu bakora za kwenye makalio mpaka akili ziwakae sawa.

Siku zote hakuna uhuru usio na mipaka. Vilabu vya nje miaka nenda vimekuwa vikituona Watanzania kama watu tusiojitambua/nyumbu, kwa sababu tu ya ujinga wa watu/nyumbu wachache.
Yaani katika mambo ambayo yanatukwamisha na kutu aibisha ni hizi za kuwa support wageni.
Ata vilabu vyetu vilipoteza fainali nyumbani sababu ni hii.
Yaani baadhi yetu wana roho mbaya kiasi wanaona ni jambo la fahari na kujivunia kushangilia wageni
 
I wish Waziri angewapa hilo jukumu la kuwadhibiti hawa nyumbu wasio jitambua, vijana wetu wa Suma JKT! Yaani zinakuja nyumbu na jezi zao kuwashangilia hao wageni; ni kucharaza tu bakora za kwenye makalio mpaka akili ziwakae sawa.

Siku zote hakuna uhuru usio na mipaka. Vilabu vya nje miaka nenda vimekuwa vikituona Watanzania kama watu tusiojitambua/nyumbu, kwa sababu tu ya ujinga wa watu/nyumbu wachache.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mamelod wameishika pabaya had wizara ya michezo, ajabu iliyojee, woiiiih
 
Nimeona Jana kauli ya Waziri kuwa hataruhusiwa Mtanzania kuingia uwanjani na jezi ya Team ambayo siyo ya Tanzania, Mfano Mtanzania anaeishabikia team ya Mamelod hataruhusiwa kwenda kushuhudia team yake Ikicheza na Yanga eti kisa uzalendo,

Kwenye michezo hasa ngazi ya vilabu hakuna sheria ya uzalendo, mtu anaruhusiwa kushabikia team yoyote ile ambao anahisi ndio inamfurahisha kama tungekuwa na ushabiki wa Inchi kwenye vilabu basi soka la china ndio lingekuwa na mashabiki wengi kama tutatumia kigezo cha utaifa katika soka ngazi ya vilabu kwa kuzingatia wingi wa wanainchi wa China.

Wito wangu ni kwamba viongozi wetu kabla hawajatoa matamko waweze kutafakari kwa kina, Lakini pia je Waziri wa sanaa na Michezo anaijua soka? Anajua maana ya ushabiki? Je alishawahi kuwa shabiki?

Hutuwezi kulazimishana katika uhuru wa kufurahi, kitendo cha kuingilia uhuru wa mtu aipende Team gani kwa sababu tu ya Utaifa ni kuingilia uhuru wa wanainchi na kuingilia taratibu za soka na hata kupoteza mvuto wa ligi ya Tanzania kwani huu upinzani na utani ndio umepelekea vilabu vya Tanzania kutambua thaman yao na kufanya vizuri zaidi.

Nimedhamilia mimi ni shabiki wa mamelodi na nitaingia kuangalia mpira nikiwa na Jezi ya Team yangu pendwa iwapo nitazuiliwa kuingia uwanjani kutokana na sheria iliyowekwa na serikali, Mimi pamoja na mashabiki wenzangu tutaenda kutafta haki yetu CAF na tutareport kunyimwa haki kuingia uwanjani,

Tupo tayari kuriport CAF kwa kuwa sisi wanasoka tunatambua CAF ndio chombo cha kutetea na kutatua changamoto za kimchezo wala sio Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Namkumbusha waziri kiwa vipo vingi sana vya kuzingatia katika kutukuza uzalendo kama vile kupambana na Rushwa, uvujaji wa mali za umma, Utii wa viongozi maofisini na makazini, kupunguza tozo na mfumuko wa Bei, Maadili na kulinda utamaduni wa Mtanzania, huo ndio uzalendo, ila sio katika soka, soka ni sehem ya burudani, starehe kwa hiyo mtu ana haki ya kuchagua kipi chakumstamstaresha na kumburudisha, Mpira hauna uzalendo, maana kuna watu hata mpira hawaujui ila likija swala la uzalendo ni wazalendo haswa.

Tanzania Amka! Tunapoelekea naona soka la Tanzania linaenda kupigwa burn. Kwa uhuru wa maamzi ya mtu mmoja ambae hafaham soka.
Kwaiyo Ndumbaro anataka watanzania wote milioni wanaofanya kazi nje waachishwe kazi Kwa kuwa taasisi hizo sio zetu. Au Crdb Burundi igomeww na warundi kisa sio benki Yao[emoji41] tunatatizo la kufikiri au hizi SoMo za dini sijui
 
Waziri endelea na msimamo wako tena ongeza na adhabu ya bakora kwa watakao kiuka agizo lako.
Hakuna Caf/ Fifa watakao tufungia kwa ilo nina uhakika wa 100% .
Tena utakua umeisaidia sana Tff ili swala lilikua likiwaumiza ila walikua hawana jinsi.
Unaijua soka kweli.
 
Yaani katika mambo ambayo yanatukwamisha na kutu aibisha ni hizi za kuwa support wageni.
Ata vilabu vyetu vilipoteza fainali nyumbani sababu ni hii.
Yaani baadhi yetu wana roho mbaya kiasi wanaona ni jambo la fahari na kujivunia kushangilia wageni
Finally ipi unasemea ww takataka club gan ilishawah kufika final?
 
Kule south Africa timu zetu zikienda huwa zinapata mashabiki wa huko huku..mchezo ni burudani mtu anashabikia timu aipendayo asitupangie
 
Ndugu mbumbumbu ebu pumzika, soka sio mchezo unao ufahamu vizuri ni bora ukawa mtazamaji. Wakati wanao fahamu wanajadili , wewe kuwa msomaji, itakusaidia.
Afu hakuna Club ambayo ni mali ya Taifa wew Ngeke,
 
Huyu waziri sijui alipatikanaje hadi kuwa hapo ana shida sana kwenye kufikiria. Yanga na Simba zimekuwa hapo zilipo kutokana na upinzani walionao na walioudumisha toka kuanzishwa kwao. Kutaka kuzifanya kuwa marafiki nikutaka kuziua.
 
Hii kauli inakiuka haki ya utashi binafsi wa mtu.

Ni udikteta na sio sahihi. Hatupo katika ulimwengu wa kupangiani nini mtu avae ili hali hakuna sheria anavunja.
 
Back
Top Bottom