Waziri wa Ulinzi wa Israel anaomba msaada kwa raia wa Gaza wasaidie kupatikana kwa Mateka

Unapiga mabomu nyamba zao
Unapiga mabomu ambulance unapiga mambo shule unapiga mabomu Misikiti unapiga mabomu watoto unapiga mabomu wanawake kisha unawaambia wakusaidie kitafuta ndugu zao hawa kweli vichaa๐Ÿ˜‚
Wewe na elimu ya madrasa huwezi tafsiri alichozungumza huyo waziri , hebu nenda kasome upya alichozungumza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona kuna drones za US ziko kwenye anga ya Gaza kujaribu kubainisha maeneo walipo mateka?
Kitu ambacho IDF nadhani haitaki kukikubali,kwa taarifa ya msemaji wa Hamas,wale mateka wamewekwa maeneo tofauti tofauti,na inasemekana mateka wengine hawako Gaza,wako nje ya Gaza!
Hamasi walishatoa msimamo wao, kwanza IDF isimamishe mashambulizi,pili makubaliano ya kuwachia mateka lazima yaambatane na Israel kuwaachia mateka wa kipalestina wanaoshikiliwa na Israel.
 
Hawa ni wendawazimu na ussenge wao , Mara hii wameshikwa pabaya na dunia imewajua
Nenda kasome upya huo ujumbe aliouandika huyo waziri. Naona mnafarijiana hapa Kwa kutokutafsiri ipasavyo.
Jamaa katoa machagulio mawili , aidha usaidie mateka kupatikana upone au kifo. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nenda kasome upya huo ujumbe aliouandika huyo waziri. Naona mnafarijiana hapa Kwa kutokutafsiri ipasavyo.
Jamaa katoa machagulio mawili , aidha usaidie mateka kupatikana upone au kifo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wawaokoe mateka wao si wako ndani ya gaza, sasa msaada wa wapalestina wa nn tena , kwani majasusi wao wameenda wapi?
 
Mbona kuna drones za US ziko kwenye anga ya Gaza kujaribu kubainisha maeneo walipo mateka?
Kwanza tambua target Namba Moja ya Israel katika vita hii ni kuwamaliza Hao magaidi . Ndiyo maana unaona IDF inafanya uharibifu maeneo Kila wakipata taarifa kuwa eneo Hilo wapo HAMAS wamejificha . Hilo la mateka ipo special unit Kwa ajili ya kufanya ukombozi , refer ya mateka wa Israel huko Uganda .
Kitu ambacho IDF nadhani haitaki kukikubali,kwa taarifa ya msemaji wa Hamas,wale mateka wamewekwa maeneo tofauti tofauti,na inasemekana mateka wengine hawako Gaza,wako nje ya Gaza!
Hilo la kutambua mateka wako wapi litafuata baadae , lakini lengo kuu la Israel ni kupambana na hao wahuni .
Hamasi walishatoa msimamo wa, kwanza IDF isimamisha mashambulizi,pili makubaliano ya kuwachia mateka lazima kuambatane na Israel kuwaachia mateka wa kipalestina wanaoshikiliwa na Israel.
Hebu Niambie ni taifa Gani limewahi kukaa meza Moja na magaidi na wakajadiliana Kisha kufikia makubaliano. Hao magaidi wanakupa msururu wa matakwa yao na wanataka uyatekeleze wewe ungeweza ?.
Kwa taarifa Yako hao mateka wa kipalestina wengi ni haohao magaidi waliofungwa kwenye magereza ya Israel. Ndio maana ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฒ ana slogan yake "no negotiations with the terrorists" usifikiri Hana akiri ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wawaokoe mateka wao si wako ndani ya gaza, sasa msaada wa wapalestina wa nn tena , kwani majasusi wao wameenda wapi?
Israel Hana shida Sana na mateka , yeye lengo ni ku deal na hao wahuni wa HAMAS anajua anachokifanya Mimi na wewe tusimpangie ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hakuna mtu wa Gaza atakayedanganyika na ahadu za yahudi akatoa siri za Hamas.
 
Israel Hana shida Sana na mateka , yeye lengo ni ku deal na hao wahuni wa HAMAS anajua anachokifanya Mimi na wewe tusimpangie [emoji16][emoji16]
Sasa hizo taarifa za mateka walipo wana taka za nn?
 
Sasa hizo taarifa za mateka walipo wana taka za nn?
Wanataka taarifa za mateka Kwa sababu " alipo mateka ndipo yupo gaidi" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wanataka taarifa za mateka Kwa sababu " alipo mateka ndipo yupo gaidi" [emoji23][emoji23]
Basi sawa ndio uwelewa wako,sasa vipi na wasipo waangamiza utakuja kutuambia nn tena?
 
Hakuna mtu wa Gaza atakayedanganyika na ahadu za yahudi akatoa siri za Hamas.
" Tunatembeza kichapo kikali Gaza Ili siku nyingne raia wakiwaona HAMAS wawaripoti Kwetu " by Netanyahu ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
 
Basi sawa ndio uwelewa wako,sasa vipi na wasipo waangamiza utakuja kutuambia nn tena?
Mkuu tulia , hii ngoma Bado mbichi . Gaidi anatafutwa popote alipojificha Hadi ateme ndoano ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
" Tunatembeza kichapo kikali Gaza Ili siku nyingne raia wakiwaona HAMAS wawaripoti Kwetu " by Netanyahu ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
Palestine ni Hamas.
 
Hawa ni wendawazimu na ussenge wao , Mara hii wameshikwa pabaya na dunia imewajua
Uwendawazimu wao ni nini? Hapo wanawaambia wasipoonekana hao mateka mtakwisha.
Leo ameambiwa Blinken hakuna kusimamisha vita hata kwa muda.
 
Mkuu tulia , hii ngoma Bado mbichi . Gaidi anatafutwa popote alipojificha Hadi ateme ndoano ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 2803649

Kwa propoganda hamjambo wamenda kwenye majumba walio vunja karibu na border ya Gaza kama km 2 hivi wakakuta kisima

Ukitaka kufahamu kichaa anamdanganya kichaa mwenzake
tazama bunker walilo lionyesha halina daraja ni kisima wao wenyewe mpaa wapige tochi eti bunker afu eti wakapiga ๐Ÿ’ฅ ๐Ÿ˜„

Watu wanao kuambia Hospital kuna kambi ya jeshi na wewe unaamini, afu badaye walipo ona nchi nyingi zimelalamika kwa ujinga wao wakasema Missile ya Jihad Al Islam ime jam ๐Ÿ˜„

Huyu doctor wa Norway anamuliza Benjamin Natanyahau swali sikia


View: https://youtube.com/shorts/zQs9hcsIzjE?si=Y34M3HlYpyhBL2zO
 
The rest deserve to die
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ