Waziri wa Ulinzi wa Israel anaomba msaada kwa raia wa Gaza wasaidie kupatikana kwa Mateka

Maneno ya wahenga, waweza tolewa NISHAI/SHOW na katoto kadogo kabisa kama unaleta undava, ujinga, uonevu, ubabe.
Lesson to all...
Taifa teule my ass...
 
Palestine ni Hamas.
Asante mkuu . Ndo maana Netanyahu anawatwanga Wapalestina wote si watoto, wanawake na wazee maana anajua mtoto wa nyoka ni nyoka πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawa ni wendawazimu na ussenge wao , Mara hii wameshikwa pabaya na dunia imewajua
ndio utukane? Tulia wewe, hizo ni mbinu za kivita tu, magaidi lazima wapigwe mkono
 
Nibora ungenyamaza tu wenda ungeendelea kuuficha ujinga wako, kuliko kuuonyesha hadharani.
Sasa hapo kuna tofauti gani na alicho sema mtoa post?
 
The Zionist state of Israel is committing genocide.
 
Wewe kusaidia Mimi kupata ndugu zangu waliotekwa ni hiari Yako . Lakini Mimi kuamua kuingia vitani Ili kuwakomboa mateka wangu nisikusikie unalalamika na kulialia kama mbwaπŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona huko Israel kuna mateka wa kipalestina zaidi ya elfu 10 na wengine wako ndani zaidi ya miaka 30?
 
Hao ni magaidi sio mateka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona huko Israel kuna mateka wa kipalestina zaidi ya elfu 10 na wengine wako ndani zaidi ya miaka 30?
 
Nibora ungenyamaza tu wenda ungeendelea kuuficha ujinga wako, kuliko kuuonyesha hadharani.
Sasa hapo kuna tofauti gani na alicho sema mtoa post?
Wote wewe na mtoa mada mna elimu ya madrasa hamuwezi kumuelewa huyo muisrael πŸ˜…πŸ˜…
 
Wawaokoe mateka wao si wako ndani ya gaza, sasa msaada wa wapalestina wa nn tena , kwani majasusi wao wameenda wapi?
Tuliaminishwa kwenye makaratasi Israel ni noma kijeshi.
 
Hakuna mtu wa Gaza atakayedanganyika na ahadu za yahudi akatoa siri za Hamas.
Basi kama wanasaidia kuficha siri za Hamas kumbe ni sahihi IDF inavyowabonda wote.
 
Mkuu huu leo tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huu ni UZI WA NGAPI UKIFARIJI KUHUSU KICHAPO KINACHOENDELEA GAZA.......SI WALISEMA WATAIFUTA ISRAEL KWENYE RAMANI YA DUNIA.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ MBONA WANAOMBA CEASE FIRE BAADA YA KICHAPO KUWAKOLEA.
MAMBO MAGUMU KWA YUPI?
YULE ANAEOMBA CEASE FIRE AU YULE ANAETOA KICHAPO.?
MM NAKUSHAURI PROPAGANDA HAZISAIDII SABABU TUMEZIZOEA TOKA 1967.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…