Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
YahyaHakuna asiyeogopa kifo. Hata Yahya Sinwar alichukua tahadhari dhidi ya kifo ila basi tu Umauti ulimfika.
Sinwar kwani ni mteule wa Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YahyaHakuna asiyeogopa kifo. Hata Yahya Sinwar alichukua tahadhari dhidi ya kifo ila basi tu Umauti ulimfika.
Kabisa sasa why ayatollah ndio aonekane anajificha kwani anayejua Benjamin anaishi wapi nyakati hizi ni naniWote ni mwendo wa "leopard crawl"
Ok. Mjomba; kimenuka huko uck wa kuamkia leo Jumamosi 26 Oct 2024. Ngoja nikashangae-shangae.Kabisa sasa why ayatollah ndio aonekane anajificha kwani anayejua Benjamin anaishi wapi nyakati hizi ni nani
Hata Netanyahu alifikiwa na watoto wadogo Hezbulah wasiokuwa na jeshi wala silaha za maana. Bahati yake alikuwa amekimbilia kushusha gogo kwenye choo cha jirani yake.Sasa ni official, Ayatollah anaweza kufikiwa