Mhe Waziri pole na Majukumu yako ya kila siku, hivi karibuni Ofisi yako ilitoa waraka wa kuwapandisha madaraja Watumishi wenye vigezo, ukiachilia mbali changamoto ya watumishi wakongwe na juniors kulundikwa kwenye daraja moja (mfano mtu aliyeajiriwa 2013-2014 kuwekwa sawa na mtu wa 2016).
Mfumo wa Lawson umekufa na Maafisa Utumishi hawafanyi kazi zao ipasavyo.
Ingilia kati suala hili likome kwani kutasababisha madai ya malimbikizo ya mishahara na kuwanyima haki watumishi. Upandishaji vyeo kwa karatasi bila mfumo ni kuwahadaa Watumishi.
Mfumo wa Lawson umekufa na Maafisa Utumishi hawafanyi kazi zao ipasavyo.
Ingilia kati suala hili likome kwani kutasababisha madai ya malimbikizo ya mishahara na kuwanyima haki watumishi. Upandishaji vyeo kwa karatasi bila mfumo ni kuwahadaa Watumishi.