TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

R. I. P. Brother Mramba

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa mzima na umebalikiwa fanya moja jema la kumkumbusha Mungu duniani akupunguzie adhabu kwa faida ya ulichokiacha duniani.
Jenga nyumba ya ibada,chimba kisima,jenga darasa moja,jenga daraja,nk ambacho walio hai watakitumia hata usipokuwepo.
 

Hapo kwenye hatia (MABAYA) mkuu wapo wengi sana sema tu inategemea ntu na ntu.

Unakumbuka furniture za Bashite?
Unakumbuka maskendo ya kodi yalioihusu home shopping centre na nani alikua nyuma yake
wale waliochukua pesa za escrow na sandarusi waliwahi kutajwa kweli.
Meremeta na kagoda je?

All in all nimekusoma vizuri mkuu
 
Yes he was right and correct many Tanzanians are not productive the solution fir them is to continue eating grass for the nation to prosper and develop.

He was one of the best finance our country hs ever had.

Rest in peace Mwamba
He was best where, in Tanzania?

He studied economics but he was useless and corrupt like other corrupt leaders.

Yes, he did some good stuff like SIDO but he was craftsman.

Nyerere (RIP) gave him THB, it was his biggest corporation in the country by then, you know what he did with it?

Everywhere he went, he messed up and at last he ended up in jail for graft charges.

We should not be making people heroes when they must be held accountable and face consequences for their actions.

RIP Mr Basil Pesambili Mramba.
 
Wivuu
 
Bogus kabisa huyu sio kisiasa Wala kiuchumi, alikua anabebwa tu na che Nkapa. Warombo wenyewe walishamkataaga kwa matusi yake. Kule Mbeya alikokua mkuu wa mkoa alifanya Nini? Kwanza hakusoma uchumi na alikua haujui.
Acha chuki zako za kijinga ni mchumi mahiri na alipata masters yake miaka ya 80 huko UK
Alijitahid mno alipokuwa wazir wa fedha ndio maana alikaa kipind kirefu
 
Ni Bora wanakufa Mana Kuna watu wameandaa mifumo ya ajira mpaka kwa vizazi ambavyo avijazaliwa,
 
Familia imethibitisha ni kweli. May His Soul RIP mzee aliyesema "ikibidi sisi wanyonge tutakula nyasi tu ila ni lazima chopper la Rais linunuliwe"
Walilewa madaraka wakakufuru
 
"Hata ikibidi wananchi wale nyasi ila ndege ya Rais itanunuliwa."
Namkumbuka kwa kauli hii ya kijeuri na kiburi.Muumbaji amuweke anapostahili.
 
"A life so beautiful lived"?seriously !!?
Huyu alikuwa mmoja wa majizi na mafisadi wa Awamu ya tatu,ya Mkapa!!
Huyu aliwahi kusema Bora wananchi wale nyasi ila Ndege ya Raisi itanunuliwa,kumbe ilikuwa deal Ili yeye na mume mwenzie Mkapa,wapige pesa ndefu poleni he was ur father,great man,provider in ur family eyes!
Ila kwetu wananchi,this man deserve to rot in hell and may Almighty grant our wish
 
Ukiwa mzima na umebalikiwa fanya moja jema la kumkumbusha Mungu duniani akupunguzie adhabu kwa faida ya ulichokiacha duniani.
Jenga nyumba ya ibada,chimba kisima,jenga darasa moja,jenga daraja,nk ambacho walio hai watakitumia hata usipokuwepo.
Unaweza kuishi maisha ya kuwajali wengine (kuwapenda kama unavyojipenda mwenyewe) na ukawa umefanya jambo kubwa kuliko hata kujenga nyumba za ibada mia moja. Siyo kwamba napingana na wewe ila nataka tu kuonyesha kuwa siku hizi watu wamekuwa kama wanyama na hawathamini binadamu wengine na ndipi hasa tatizo linapoanzia. Ukiwapenda wenzako hutawafunga jela bila sababu, wala hutaiba fedha zilizotengwa kununua dawa za hospital, wala hutajenga hutatembea na mke wa mtu.....mambo ni mengi.
 
..hivi suala la ununuzi wa ndege ya raisi kwanini analaumiwa mramba peke yake?

..kwanini rais mkapa, na waziri wa uchukuzi[ anayehusika na ndege] wa wakati huo, hawalaumiwi?
 
..hivi suala la ununuzi wa ndege ya raisi kwanini analaumiwa mramba peke yake?

..kwanini rais mkapa, na waziri wa uchukuzi[ anayehusika na ndege] wa wakati huo, hawalaumiwi?
Kutokana na maneno ya kipumbavu aliyoongea.
Kukaa kimya nako Ni busara lkn ma CCM hawakujui Hilo.
Bilioni 11 zilimfanya ajisahau kabisa (sio Mimi, mahakama ilidhibitisha)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…