TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

Kifo hakizoeleki awe mzee au mtoto kifo hakizoeleki. Ulale pema Mh. Mramba. Mwendo umeumaliza.
 
Ndiyo waziri pekee wa feza aliyejua nini maana ya mfumuko wa bei na athari zake kwa watu masikini hadi aliushusha chini na haijawi tokea tena.dalada nauli sh.100 miaka 10.
Bogus kabisa huyu sio kisiasa Wala kiuchumi, alikua anabebwa tu na che Nkapa. Warombo wenyewe walishamkataaga kwa matusi yake. Kule Mbeya alikokua mkuu wa mkoa alifanya Nini? Kwanza hakusoma uchumi na alikua haujui.
 
Ndiyo waziri pekee wa feza aliyejua nini maana ya mfumuko wa bei na athari zake kwa watu masikini hadi aliushusha chini na haijawi tokea tena.dalada nauli sh.100 miaka 10.

..Ndiye aliyeanzisha SIDO.

..aliongoza mchakato wa kuanzisha TRA.

..akiwa Waziri wa Fedha alihitimisha mchakato wa Tanzania kuingia ktk mpango wa World Bank na IMF kusamehewa madeni.

..baada ya kusamehewa madeni ndipo serikali ilipopata uwezo wa kugharimia miradi mingi ya maendeleo ktk awamu za 4 na 5.

..alipatikana na HATIA ktk kesi ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kusamehe kodi ya shillingi BILLIONI 11.

CC Mlachake
 
..Ndiye aliyeanzisha SIDO.

..aliongoza mchakato wa kuanzisha TRA.

..akiwa Waziri wa Fedha alihitimisha mchakato wa Tanzania kuingia ktk mpango wa World Bank na IMF kusamehewa madeni.

..baada ya kusamehewa madeni ndipo serikali ilipopata uwezo wa kugharimia miradi mingi ya maendeleo ktk awamu za 4 na 5.

..alipatikana na HATIA ktk kesi ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kusamehe kodi ya shillingi BILLIONI 11.

CC Mlachake
Anaweza kua kafanya mazuri mengi Ila hili la b11.
Mbaya zaidi mahakama ili prove kwamba alikwapua.
 
Anaweza kua kafanya mazuri mengi Ila hili la b11.
Mbaya zaidi mahakama ili prove kwamba alikwapua.

..Mramba na Yona walishtakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa msamaha wa kodi wa sh billioni 11.

..hawakushtakiwa, wala kuhukumiwa, kwa kuiba au kukwapua, bali walihukumiwa kwa kufanya maamuzi yaliyoitia hasara serikali.

..Nakubaliana na wewe kwamba hukumu ya kuitia hasara serikali ilitia doa utumishi wa Basil Pesambili Mramba.
 
Apumzike kwa amani mzee wetu Basil Pesambili Mramba.
Poleni sana wana familia, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
 
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.

Kifo chake kimesababishwa na Mshituko wa Moyo(Cardiac arrest)

Mramba aliwahi kuwa Waziri wa fedha, pia Waziri wa viwanda, biashara na masoko

View attachment 1895289
Basil Pesambili Mramba

Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered.

Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy.

We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage.

The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen.

Godfrey B. Mramba

RIP Mramba.

Hata hivyo inasikitisha kuona kwamba kila anayekufa siku hizi eti amekufa kwa Corona,sio kweli.Ninachojua mimi ni kwamba vifo vingi siku hizi ni kwa sababu ya Cancers,HPP,Diabetes,Heart Diseases etc. ambazo zinakuwa exacerbated na air pollution in our enviroment and hence the pneumonic respiratory system symptoms.

Sijui kwa nini watu wanashindwa kuelewa kwamba in polluted enviroments tulizonazo sasa,ambazo actually ni deliberate,so as to commit genocide, older people will die first,because of weakened immune systems na weak lungs.Tuamke,tunalishwa matango mwitu!Hawa watu wana tuua halafu wana shift blame on us.

Look at what they are doing to our enviroment, halafu eti wanasingizia kuna Corona!Kwa wale ambao ni unsuspecting,their is geo-engineering going on and destroying our world and well being.Tuamke guys,we are at war,we are being targeted.








These sprays have been analysed and have been confirmed to contain Aluminium,Mercury and Lead,metals which are very harmful to human health.The sprays have also been shown to have harmful Virus and Bacteria.
 
Back
Top Bottom