Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Usiweke divai mpya kwenye kiriba kukuu kiriba kitapasukaBado Jiwe na yule Dc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiweke divai mpya kwenye kiriba kukuu kiriba kitapasukaBado Jiwe na yule Dc
Misuko tofauti,itazame kwenye 3D.Hapo mbn kuna picha moja iko tofauti na zingine
Ila dah huyo dada ana nnyaaaaa
Huyo mwenye kikuku naona mdada wa mjini kbsa naye
Kuhani Noah
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sio lazima muislamu, hicho ni kiarabu yeyote yule anaweza akakiandika na wala sio lazima muislamu au hata mwarabu.Tafuta muisilamu akifundisha namna ya kuandika hili neno.
Naomba nipite kwa kunyata hapajuzi mlipoleta uzi kwamba mzee kaoa toto dogo nikajua tu ameoa Mchaga leo ndio nimeamini alioa mmachame.
Ameshindwa kjifunza kwa R.Mengi.
Rest in Peace mzee hakika umeumaliza mwendo.[emoji120][emoji120][emoji120]
We mzee hivi wewe huo msambwnda ungekupitia ungeuacha kweli
Babu mzeeViagra nayo ni shida [emoji23][emoji23][emoji23]
babu mzee overweight alivyokuwa anaambiwa inama panda juu by the time akipewa maji kifo .[emoji3][emoji3][emoji3]
Viagra nayo ni shida [emoji23][emoji23][emoji23]
Ama kweli hakuna roho kongwe.Inawezekana Dr.alipiga ile kitu inaongeza nguvu kazi.....!!!
Du aisee ni wiki kama mbili zimepita tumeona ameoa binti mbichi, binti kawa mjane sasa.Apumzike kwa amani mh balozi.Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Ila hawa wadada na minyusi ya bandia kwenye kope zao wanachukiza sana,mara mikucha ya bandia,mara nywele za bandia,mara mkorogo sijui wanakwama wapi?
Mara hii kajiunga na chama cha wajane hata kufaudu mabaki ya Yen alikuwa badoJamani mwenye namba za mjana(?mke wa marehemu)nataka niongee nae machache ya kumfariji
Angekuwa mchagga asingekufaMbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
Ng’wandu aliwahi kuwa Mbunge wa Maswa, pia Waziri wa Ardhi, Maji, Nyumba na Maendeleo ya Mji kuanzia mwaka 1985 hadi 1987, na alikuwa Waziri wa Maji 1987 hadi 1990, nafasi ambayo aliishika tena mwaka 1996 hadi 1999.
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Mkumbushe kistaarabu tuu maana huo usahihi uliouleta hapa haubadili exchange rate ya leo ya USD.Wewe ni kilaz.a sana kwanza hakuna mtu alikuwa anaitwa zitto zitto bali alikuwa ni ZITTO KABWE,pia hakuwa Waziri Mkuu bali Katibu Mkuu na pia hakuna kitu kilikuwa kinaitwa UDSA bali ni DARUSO (Dar es Salaam University Students Organization).
Hata wale wanafunzi waliokosa mikopo na baadaye wakapewa hawakuwa 203 bali walikuwa 603.
Watu wengine mbona mko weupe sana vichwani,hivi maisha mnatoboaje?!!!!
Nini kinakufanya uamini kaoa Mchagga au Mchamejuzi mlipoleta uzi kwamba mzee kaoa toto dogo nikajua tu ameoa Mchaga leo ndio nimeamini alioa mmachame.
Ameshindwa kjifunza kwa R.Mengi.
Rest in Peace mzee hakika umeumaliza mwendo.🙏🙏🙏