Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wanaume wana mbinu, WANAWAKE Wana mitegoKalikuwa keshampigia hesabu kaka multiply, kaka divide, kaka minus, kakapata kumbe bado kidooogo naondoka na bingo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wana mbinu, WANAWAKE Wana mitegoKalikuwa keshampigia hesabu kaka multiply, kaka divide, kaka minus, kakapata kumbe bado kidooogo naondoka na bingo
ViagraHuyu si kaoa mrembo juzi tu? Watu walimsifia kweli ila mimi nikasema kuoa na uzee ule tena bint mrembo mwenye makalio makubwa ni kama kusogeza tatizo karibu 😊😊
Hivi kuna hata mwezi tangu avute hii chombo?
View attachment 1653920
Kweli yani na ujanja wote umetoka vitani una mbinu zote za kijeshi na kippolisi, umekwepa mpaka risasi kwenye frontline, ila unakuja kutulizwa unakufa ukiwa kichwa kimelazwa mapajani. Wanawake ni silaha moja hatari zaidi ya nuclear bomb.Wanaume wana mbinu, WANAWAKE Wana mitego
Kafa akiwa "honey moon" na "inasemekeana VIII-AA-GRAAA" ndiyo chanzo.Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Ndio maana waliweza kuongea na nyoka na kuelewana bila shaka yoyoteKweli yani na ujanja wote umetoka vitani una mbinu zote za kijeshi na kippolisi, umekwepa mpaka risasi kwenye frontline, ila unakuja kutulizwa unakufa ukiwa kichwa kimelazwa mapajani. Wanawake ni silaha moja hatari zaidi ya nuclear bomb.
Hilo tacle hilo!sidhani kama lingeweza kuvumilia nd'onga legelege ya kizee....sema tamaa za kifwedha ndo zinafanya mtu anakubali kuingia ndoanoni alafu mwisho wa siku matatizo ni kwa mzee....RIP mzee.Huyu si kaoa mrembo juzi tu? Watu walimsifia kweli ila mimi nikasema kuoa na uzee ule tena bint mrembo mwenye makalio makubwa ni kama kusogeza tatizo karibu [emoji4][emoji4]
Hivi kuna hata mwezi tangu avute hii chombo?
View attachment 1653920
Nawewe tafuta mswahili / mwl wa kiswahili akufundishe namna ya kuandika maneno " muisilamu na akifundisha" yanavyoandikwa !!Tafuta muisilamu akifundisha namna ya kuandika hili neno.
Nawewe tafuta mswahili / mwl wa kiswahili akufundishe namna ya kuandika maneno " muisilamu na akifundisha" yanavyoandikwa !!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndiyo ndo yeye bwana weweSi huyu ndo alioa hivi karibuni?
RIP wa kukaya. Pole sana wafiwa.Rest Easy Comrade
Ndio maana waliweza kuongea na nyoka na kuelewana bila shaka yoyote
Mkuu,wamama wa yudabiliyuutii ni vilaza.Aliwahi kuwa Balozi wa Japan au aliwahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan?
Mtoa mada naomba unisahihishe?
Hapo mbn kuna picha moja iko tofauti na zingineRIP mzee wetu, pressure haina adabu
Kwa kufahamu hilo naomba hata wale wanaodhulumu wenzao wakumbuke kama Maisha ni mapito.Dunia mapito. Pole kwa wafiwa.
Bado Jiwe na yule DcRIP mzee wetu, pressure haina adabu
Wewe ni kilaz.a sana kwanza hakuna mtu alikuwa anaitwa zitto zitto bali alikuwa ni ZITTO KABWE,pia hakuwa Waziri Mkuu bali Katibu Mkuu na pia hakuna kitu kilikuwa kinaitwa UDSA bali ni DARUSO (Dar es Salaam University Students Organization).Namkumbuka mzee wakati naingia mlimani alikuwa waziri wa sayansi na elimu ya juu. Alibanwa na zitto zitto akihudumu kama waziri mkuu wa UDSA alimuhenyesha sana juu ya sakata la wanafunzi 203 waliokosa uzamini wakitokea department ya sociology. Mwisho wa siku walipata mkopo. Hahahah zitto bwana
Kafa tu we humuoni kama umri umekwenda sema shida ni kafa akiwa katoka kufunga ndoa na kijana
Inawezekana Dr.alipiga ile kitu inaongeza nguvu kazi.....!!!Nilitaka kuuliza ndie alieoa dogodogo juzi? . Asante Kwa maelezo Mambo mengine bwana roho inatamani lakini nguvu hamna.