Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko amemuacha binti wa watu mjaneNilitaka kuuliza ndie alieoa dogodogo juzi? . Asante Kwa maelezo Mambo mengine bwana roho inatamani lakini nguvu hamna.
Hapo usikute kabinti kameshafanya yake kubadili baadhi ya hati za Mali kama ilivyokuwa kwa Mzee machache
Haina shida kijana atapata kijana mwenzake maisha yatasongaKafa tu we humuoni kama umri umekwenda sema shida ni kafa akiwa katoka kufunga ndoa na kijana
Japo sio vyema kumsema marehemu...ila wazee wetu nanyi punguzeni matamaaKo amemuacha binti wa watu mjane
Kwa hiyo Hilo danga sijui litasemaje?
Mungu ailaze rohoMbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Kale kabinti ndio kamerithi mafao ya Dr hapa dunianKafa tu we humuoni kama umri umekwenda sema shida ni kafa akiwa katoka kufunga ndoa na kijana
Kalikuwa keshampigia hesabu kaka multiply, kaka divide, kaka minus, kakapata kumbe bado kidooogo naondoka na bingoKale kabinti ndio kamerithi mafao ya Dr hapa dunian
Ahaa kumbe!Wazee hawa wastaafu wanapoamua kuoa watoto wadogo sawa na wajukuu zao au watoto wao ni ishara kuwa anakaribia kifo....
[emoji3][emoji3][emoji3]Mambo ya viagra hayo!
Alikuwa kwenye Kidali akadondoka!Kafaje?
Viagra nayo ni shida [emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya viagra hayo!
Hapo unakuta binti alikuwa anasisitiza ndoa tangu miaka sita iliyopita.Kafa tu we humuoni kama umri umekwenda sema shida ni kafa akiwa katoka kufunga ndoa na kijana
Sema walau katimiza his final wish wachache wanapata hiyo bahatiHapo unakuta binti alikuwa anasisitiza ndoa tangu miaka sita iliyopita.
Pumziko La Amani Apate Mwendazake.
[emoji23][emoji23][emoji23] ukiangalia ilikuwa presha hapo unaona haiwezi kuwa kitu cha congo aka balakoa labda viagra ila mm sijui [emoji16]Mkuu unataka ujue alichokua anafanya dk ya mwisho?