TANZIA Waziri wa zamani, Dkt. Pius Yasebasi Ng'wandu afariki dunia

TANZIA Waziri wa zamani, Dkt. Pius Yasebasi Ng'wandu afariki dunia

Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.

Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.

Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.

Mungu amlaze Mahali pema Peponi.

Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993

Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008

View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Mungu ailaze roho
ya marehemu balozi Dr Pius Ng'wandu, moja ya wasomi wachache wa Tanzania, waliobahatika kusoma kwenye mojawapo ya vyuo vikubwa kabisa hapa duniani( Stanford University)
 
Comrade Ng'wandu wakati amejipatia jiko jipya limtunze uzeeni , kumbe na Baba wa Mbinguni Alikuwa anajiandaa kumuita .

Apumzike tu kwa amani .

Poleni wafiwa wote .

Taifa limepoteza ujuzi na uzoefu wake .

Tunamshukuru kwa utumishi wake .
Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.

Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.

Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.

Mungu amlaze Mahali pema Peponi.

Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993

Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008

View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
 
RIP Mzee Ng'wandu.

Ila huyu mtoto Yuko fit Sana. Hii presha ya Mzee sijui ilisababishwa na nini
 
Apumzike kwa amani Mheshimiwa Pius Ng'wandu.

Mnamo mwaka 1986/87 akiwa Waziri wa Maji, alikuja shule ya sekondari tulikokuwa tukisoma; kama mgeni rasmi wa siku ya maji/mazingira duniani. Alipanda mti (plant a tree) kama kumbukumbu.

My impression of him was mtu ambaye hakuwa na mikiki wala makeke; a humble man.

Rest in peace Mheshimiwa Pius Ng'wandu.
 
Kale kabinti ndio kamerithi mafao ya Dr hapa dunian
Kalikuwa keshampigia hesabu kaka multiply, kaka divide, kaka minus, kakapata kumbe bado kidooogo naondoka na bingo
 
RIP mkuu...

He was old,

Matatizo ya pressure ni common kwa wazee kama yeye..

ila kwa kuwa watanzania ni watu wa kuunganisha matukio,basi tushaanza kusema yetu
 
Back
Top Bottom