Tetesi: Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje anahaha kuonana na Mkulu ili wayamalize

Tetesi: Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje anahaha kuonana na Mkulu ili wayamalize

Acha wenge. ..watu wanauwawa nakutupwa kwenye fukwe huku maiti zao zikiwa ndani ya viroba. ...Hayo Mazuri anayatoa wapi. ..... Mbona aliuza nyumba za NHC na pesa akazila. ... vipi kuhusu trillion 1.5 ambayo mpaka sasa ni kitendawili kikubwa haijulikani ilipo kwenda. ...?
Anayo. Ila mazuri yake ndio mengi. Alinselema mpaka 2025.
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Una maanisha huyuhuyu mwanadiplomasia "nguli" na "jasusi" wa hali ya juu wa makamanda wa UFIPA?
 
Acha wenge. ..watu wanauwawa nakutupwa kwenye fukwe huku maiti zao zikiwa ndani ya viroba. ...Hayo Mazuri anayatoa wapi. ..... Mbona aliuza nyumba za NHC na pesa akazila. ... vipi kuhusu trillion 1.5 ambayo mpaka sasa ni kitendawili kikubwa haijulikani ilipo kwenda. ...?

Tena nilisikia 2.4 trillion na sio 1.5 😭😭😭
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Kwahiyo huko CCM kugombea ni sintofahamu? Na utovu wa nidhamu nadhani na "matusi" pia!

Hii ni karne nyingine jamaani barbarisms iliishaga karne nyingi zilizopita sijui kama think tanks wa CCM wanalijua hilo na wengine ni mapropesa!!!!
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Kwani alimkosea Nini huyo Mkuu wa kaya?
 
Hii inaitwa kuchamba kwingi mwishowe.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu alishasema sijaribiwi yeye hasikiii. Sasa ndo haya tunayaona yanamtokea puani.

Msipende kushindana jamani na aliyeshika mpini, mtaumiaaaaa!!!
Kwani kamjaribu kivipi?
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Alikuwa Canada kuangalia share zao za Acacia, ambazo walikuwa wanapiga kupitia makinikia. Hizo share hawataki kuziuza kwa kampuni mama, pamoja na kampuni mama kuwabembeleza wawauziye.
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Kijana mdogo unapiga ramli karne hii.....nyambafu.
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
It is So Easy to Be a Solder When their is No War😁
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Kwa hivyo angekaa kimya hizo tuhuma za rushwa zisingeibuliwa siyo?

Tuhuma ni jitihada za kumdhibiti siyo?
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Imekaa kinaa sana hii
 
Kama Rostam na Gwajima walimtembelea Rais wetu ikulu kumpongeza na kumpa moyo,sitoshanga kumuona BM
 
Back
Top Bottom