Tetesi: Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje anahaha kuonana na Mkulu ili wayamalize

Tetesi: Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje anahaha kuonana na Mkulu ili wayamalize

Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
1133709
 
Benard Membe hawez kujishusha kwa Magufuli kwasababu ana kiburi cha kwamba yeye anakijua chama kuliko Magufuli, anasahau kwamba mambo ya kujua chama yamepitwa na wakati , amuulize Lowassa ambaye alisema ambaye hamtaki CCM ahame yeye, lakin tukashuhudia yeye akihamia kwenye ka ofis ka pale Ufipa kana Joto na ndo maana wakaanza kwamba ujio wa Lowassa utakuwa na ,,,,, na,,,,, na akatamani sana kurudi CCM mi leo nimelewa naishia hapa
umilewwaa🙄umileweshwa😂😂😂👷👷✌✌✌
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
PROPAGANDA MAVI HIZO.SISI WANA CCM TUNAMTAKA MEMBE.
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!

Hayo kamueleze Musiba ndo mwenye akili za ukichaa atakuelewa
 
Yaani utadhani serikali ni muungano wa vikundi vya taarabu
Duuuhhhhh........hata mimi nimesikitika ingawa siyo mwenzao.Labda wapo hivyo kutokana na sifa yao ya ubinadamu,hivyo basi nawe pia nikuombe uwatake RADHI, huo ndiyo uungwana
 
Ahahahahaha magu mwenyewe ndo amesanda unafanya mchezo nn tafsiri ya polepole kuja na kusema ameitwa ikulu na mzee na kuambiwa kuwa atoongeza hata dakika tano hii kwa maana wazee wamesimama na membe sasa inabidi mzee ili apate miaka mitano tena ila najua akipewa tu atabadilika ni waendelee tu mkuchachafya
 
Hii inaitwa kuchamba kwingi mwishowe.....🤣🤣🤣 Mkuu alishasema sijaribiwi yeye hasikiii. Sasa ndo haya tunayaona yanamtokea puani.

Msipende kushindana jamani na aliyeshika mpini, mtaumiaaaaa!!!

Na ww hata habari za uongo na ambazo hazina uhakika unashangilia tu 😁😁😁
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
majority ya wana CCM wapo na Membe 2020.

habari ndiyo hiyo!
 
Naanza sasa kuamini kuna watu hua wanalipwa per post[emoji57][emoji57]
Ujajua hilo mbona wapo wengi umu, imani yao wapewe vyeo kama wakuu wa wilaya na kwingineko ila sasa imekula kwao kila wakijitahidi kusifia wanaambulia maji ya ikulu, kuna mtu kama lemutuz aliekuwa na ndoto za ukuu kila siku kusifia yupo wapi kwa sasa wamebakia mingese ya lumumba.
 
Benard Membe hawez kujishusha kwa Magufuli kwasababu ana kiburi cha kwamba yeye anakijua chama kuliko Magufuli, anasahau kwamba mambo ya kujua chama yamepitwa na wakati , amuulize Lowassa ambaye alisema ambaye hamtaki CCM ahame yeye, lakin tukashuhudia yeye akihamia kwenye ka ofis ka pale Ufipa kana Joto na ndo maana wakaanza kwamba ujio wa Lowassa utakuwa na ,,,,, na,,,,, na akatamani sana kurudi CCM mi leo nimelewa naishia hapa

Kwa akili yako na mawazo yako unadhan kwanini lowasa alirudi ccm? Kama alirudi kwa kulinda mali zake au kwa kulinda familia yake je unadhan amerudi kwa ajili ya mapenzi ya chama au kwa ajili ya mali?
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Mjinga pekee ndo ataamini ramli zako za kienyeji. Nakukumbusha tu kuwa mkuu wa KKKT ni Dr F A Show.Unahangaika tu na vipropaganda vyako senseless.
 
Sijaelewa kwa hiyo nchi hii ukituhumiwa kwa rushwa ili Mambo yaishe lazima ujipendekeze kwa mkulu ndio Mambo yako yanaisha au unatakiwa ukajitetee mbele ya mahakama? Mbona Kama mleta post unaidhalilisha taasisi kuu.
 
Sijaelewa kwa hiyo nchi hii ukituhumiwa kwa rushwa ili Mambo yaishe lazima ujipendekeze kwa mkulu ndio Mambo yako yanaisha au unatakiwa ukajitetee mbele ya mahakama? Mbona Kama mleta post unaidhalilisha taasisi kuu.
 
Haahaa member huyuhuyu aliyesema chama kimekatika vipandevipande
 
majority ya wana CCM wapo na Membe 2020.

habari ndiyo hiyo!
Hawa mavuvuzela yanayolipwa na Chakubanga hawalijui hilo! Ila ukweli machinjio mwakani yapo Dodoma Kizota
 
Tuliandika awali kuwa kama Kuna mtu anautaka Urais mwaka 2025 ni lazima awe mtii na msikivu kwa Rais aliyeko madarakani.
CCM ni chama kikongwe na kimetumika kusuluhisha watu na viongozi maarufu wa Inchi mbali mbali Africa.
Kwa hiyo kama kuna suluhu yoyote kwa wanachama wawili maarufu haiwezi kutokana na wao wawili mbali mfumo wa chama ambao umesheheni watu maarufu wengi. Kuna Marais wastaafu wa bara na visiwani, kuna makatibu wakuu wa CCM, kuna mawaziri wakuu na mawaziri viongozi wa bara na visiwani na pia kuna wazee wa Dar es Saam na viongozi wa Dini wambao hawatataka CCM ipasuke na kusababisha umwagaji damu kama ilivyotokea Inchi jirani chama kikuu kilipopasuka.
 
Tuliandika awali kuwa kama Kuna mtu anautaka Urais mwaka 2025 ni lazima awe mtii na msikivu kwa Rais aliyeko madarakani.
CCM ni chama kikongwe na kimetumika kusuluhisha watu na viongozi maarufu wa Inchi mbali mbali Africa.
Kwa hiyo kama kuna suluhu yoyote kwa wanachama wawili maarufu haiwezi kutokana na wao wawili mbali mfumo wa chama ambao umesheheni watu maarufu wengi. Kuna Marais wastaafu wa bara na visiwani, kuna makatibu wakuu wa CCM, kuna mawaziri wakuu na mawaziri viongozi wa bara na visiwani na pia kuna wazee wa Dar es Saam na viongozi wa Dini wambao hawatataka CCM ipasuke na kusababisha umwagaji damu kama ilivyotokea Inchi jirani chama kikuu kilipopasuka.

Hapo unazungumzia chama cha mzee mwinyi na Nyerere sio hiki cha sasa ambacho watu wanaweza kuimba wanaimani na mtu flan mbele ya marais
 
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.

Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.

Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.

Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!

Acha utoto dogo, juzi ulileta upuuzi kwamba Askofu Shoo ameshindwa uchaguzi, kinyume na ukweli. Saa hii unaleta utoto mwingine. Kwa taarifa yako huyo waziri hamuogopi huyo jamaa kwa lolote, na wala hana la kumfanya zaidi ya mikwara ya muda mfupi kwa kiburi cha madaraka.
 
Back
Top Bottom