johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Apotezwe na nani?Kwan nani alikuwa haogopi? Huo ni uonevu..mlitaka aseme meli mbovu apotezwe?
Kisu Kimegonga Mfupa!!! 😣😏😑😐😐Mnafiki...walikuwaa wanasifia vibovu vingapi? Kuna lipi la ajabu kwa mwendazake kununua vibovu? Rejea MV Bagamoyo, rejea terrible teen. Kwa Marehemu kutaja udhaifu lilikuwa kosa. Rejea takwimu za uongo za kiserikali, taarifa za uongo n.k
Wazazi wasiwe wanatafuta watoto wakiwa wamelewa, matokeo yake ndio viaz kama hv vinazaliwaLisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Ndiyo Ukweli Wenyewe..hao walimuogopa Jiwe
..hakuna mtumishi anaweza kusema chombo kilichonunuliwa / kutengenezwa na serikali ya Jiwe ni kibovu.
..najua MATAGA watapinga na kufurumusha MATUSI.
Marehemu gani?Marehemu kama kawaida yake hapo!
Unasema uongo!Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Hii habari niliona Star Tv kama siku tano zilizopita inakuwaje ITV wameileta leo?Naibu waziri wa ujenzi Mwita Waitara amewasimamisha kazi watumishi wawili wa mamlaka ya bandari kufuatia kitendi cha watendaji hao kuficha taarifa za ubovu wa meli mpya iliyopokelewa mwaka jana.
Mwita amesema watumishi hao walikuwa wanaogopa nini kuieleza serikali ubovu wa meli mpya hali iliyopelekea meli hiyo kutaka kuuwa wananchi kwa kuzama huko Kyela.
Source: ITV habari
Wamo humu watakujibu bwashee!Hii habari niliona Star Tv kama siku tano zilizopita inakuwaje ITV wameileta leo?