Dua lako linaitwaga Dua la kuku,etii😝Pole sana mkuu. Hawa viongozi wana laana
Pole sanaWaziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Ni kweli hata Mimi nilipangiwa dakika 3 tu kuongea na mkuu mmoja , wanatutesa sana !Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
karma ni nyokoWaziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Mbona WEWOOOOWaziri kakutana na kasongo yeeyee,
Ndiyo maneno ya wachawi wetu hayo (Wabunge na mawaziri wote ni wachawi tu) na ndiyo maana hawalijuwi walifanyalo. Kibongo bongo utashangaa mtu ni Profesa lakini yuko useless kichwani.Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Acha kutetea ujingaUnajua ratiba ya waziri lakini?
Ni pamoja na kutusikiliza wananchiUnajua ratiba ya waziri lakini?