Kafanyiwa nini mkuu? Naomba unijuzeKitendo alichofanyiwa waziri na wasaidizi wa rais kinafaa kulaaniwa na kila mtanzania. Na kama waziri Mkenda pia ana tabia hiyo aonywe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyiwa nini mkuu? Naomba unijuzeKitendo alichofanyiwa waziri na wasaidizi wa rais kinafaa kulaaniwa na kila mtanzania. Na kama waziri Mkenda pia ana tabia hiyo aonywe.
Mkenda Yuko kama mfanya biashara wa kihindi, Huwa hajali muda WA MTU kama mtu msoniWaziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Kwani si ni msomi na yeyeMkenda Yuko kama mfanya biashara wa kihindi, Huwa hajali muda WA MTU kama mtu msoni
Tuna viongozi wa hovyo na wajinga snWaziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Eeeeeeh kumbe nawe ni walewale hamnazo, Issue sio ratiba ya waziri, lugha inayotumika sio nzuri kwa mtu ambae anakuja ofisini kwa utatuzi wa tatizo lake.Unajua ratiba ya waziri lakini?
Profesa vipi mbona umepanic, subiri kwanza uchaguzi ndio utajua ni dua la kuku, bata au la walalahoi.Dua lako linaitwaga Dua la kuku,etii😝
Kiongozi wengi wamelaaniwa. Ukitaka kujua hilo subiri ashuke wanatia hutuma. Mzuzuri kwa mfanoHapa duniani ukiwa na connection sahihi maisha huwa mepesi sana. Nikiwa mwanafunzi enzi waziri wa fedha Mustafa Mkulo nilishawahi kumpita kwenye foleni aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya ndugu Mwakipesile. Nilimkuta kwenye benchi na watu wengine wanasubiria kuingia kwenye ofisi ya Kigogo mmoja wizarani. Nikiwa ndani kule secretary akawa anamkumbusha huyo kigogo kuwa RC kasubiri muda mrefu sana. Nadhani nilivyotoka ndo akaingia.
Tuambieni basi kafanyiwa niniMkenda afukuzwe uwaziri na akatwe kwenye ubunge
Hapana. Nimeongea uhalisiaDua lako linaitwaga Dua la kuku,etii😝
Leo kaumiaje?!!!Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Kwani kimetokea nn kwake?!!!Kitendo alichofanyiwa waziri na wasaidizi wa rais kinafaa kulaaniwa na kila mtanzania. Na kama waziri Mkenda pia ana tabia hiyo aonywe.
madaraka yanalewesha, kwahyo msamehe bure.Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
UNGEMJIBU HIVI " MH KAMA UNADAKIKA TANO TU ZA KUNISIKILIZA JE HUO MUDA WA KUSHUGHULIKIA SWALA LANGU UTAUPATA?" THEN UKAMWAMBIA NASHUKURU KWA MUDA WAKO NA UKASEPAWaziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Kwani ratiba yako ikoje ndugu waziri?Unajua ratiba ya waziri lakini?
Halafu hata ukifanikiwa kuongea naye hana suluhisho la tatizo lako.Ni kweli hata Mimi nilipangiwa dakika 3 tu kuongea na mkuu mmoja , wanatutesa sana !
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"