babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kwenye biashara kuna kitu kinaitwa "Elevator Pitch". Yaani, piga hesabu. Ungekuwa na waziri kwenye lifti, kutoka ground floor hadi floor ya tano. Na una idea ya kumpa ili akufikirie. Ungesema nini?Unajua ratiba ya waziri lakini?
Hakika malipo ni hapa hapa Duniani !Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Prof. Mkenda kasema alikuwa anabaniwa kumuona rais ikulu ili kufanya wasilisho (presentation) la mabadiliko ya mitaala.Kafanyiwa nini mkuu? Naomba unijuze
Leo kafanywa nini tena?Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Nchi imefikia hapa? Waziri ananyimwa kwenda ikulu? Tumefika patamu kweli kweli.Prof. Mkenda kasema alikuwa anabaniwa kumuona rais ikulu ili kufanya wasilisho (presentation) la mabadiliko ya mitaala.
Lkn machawa wake akina Steve Mengele na Waziri Salum wanaingia ikulu kama chooni
Shida sana. Huyu mama hana maana kabisaNchi imefikia hapa? Waziri ananyimwa kwenda ikulu? Tumefika patamu kweli kweli.
Huu ni upumbavu kabisa. Mawazo ya kinyani-nyani kama yako ndiyo yameifikisha Tanzania hapa ilipo.Hapa duniani ukiwa na connection sahihi maisha huwa mepesi sana. Nikiwa mwanafunzi enzi waziri wa fedha Mustafa Mkulo nilishawahi kumpita kwenye foleni aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya ndugu Mwakipesile. Nilimkuta kwenye benchi na watu wengine wanasubiria kuingia kwenye ofisi ya Kigogo mmoja wizarani. Nikiwa ndani kule secretary akawa anamkumbusha huyo kigogo kuwa RC kasubiri muda mrefu sana. Nadhani nilivyotoka ndo akaingia.
Tit for tat is a fair play.Waziri wangu wa elimu malipo ni hapa hapa duniani.
Nakumbuka niliteseka sana kukupata ofisini kwako. Nilikusumbukia ndani ya wiki nzima bila ya mafanikio.
Jumatatu moja nilikaa ofisini kwako kuanzia sana mbili asubuhi mpaka saa tisa jioni ndiyo nikafanikiwa kukuona.
Lakini bado nilipokuona uliniambia kama ifuatavyo "Nina dakika tano tu za kukusikiliza shida yako hivyo ongea haraka haraka"
Haya majibu yaliniuma sana waziri wangu na nadhani niliumia zaidi ya ulivyoumia wewe leo.
Kwanini wasimwondoshe? Au wanasubiri wakati sahihi?Shida sana. Huyu mama hana maana kabisa
Akipate wapi mkuu? Hiyo ilikuwa staili ya kiungwana ya kukataa kumsaidia.Ulifanikiwa kupata ulichohitaji kwa dk hizo 5 mkuu?
Duniani hakuna haki.... kuna watu wanalipwa noti ndefu kwa kuwatengenezea wengine connections kwenye mambo yao. Wakati wewe unazinguliwa na Mkenda kuna mtu akipiga simu wakati Mkenda anaoga mke wake atapokea na kumwambia "Shemeji naweza kumpelekea simu hukohuko bafuni"....Huu ni upumbavu kabisa. Mawazo ya kinyani-nyani kama yako ndiyo yameifikisha Tanzania hapa ilipo.
Ndiyo maana nakuambia wewe na Samia hamna tofauti. Kichwani ni sifuri.Duniani hakuna haki.... kuna watu wanalipwa noti ndefu kwa kuwatengenezea wengine connections kwenye mambo yao. Wakati wewe unazinguliwa na Mkenda kuna mtu akipiga simu wakati Mkenda anaoga mke wake atapokea na kumwambia "Shemeji naweza kumpelekea simu hukohuko bafuni"....
Atakula jeuri yakeProf. Mkenda kasema alikuwa anabaniwa kumuona rais ikulu ili kufanya wasilisho (presentation) la mabadiliko ya mitaala.
Lkn machawa wake akina Steve Mengele na Waziri Salum wanaingia ikulu kama chooni