Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

hatimaye Baraza la mawaziri limepata mjumbe mwenye asili ya Asia.
 
Mkuu sikuamini alicho kitamka lkn ndiyo hivyo tena maana mwenzetu tayari yupo matawi ya juu sasa.
Hivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?

Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo wayasikie wauza mtumba wa ilala na karume maneno ya mbunge wao hayo anataka tuvae supesheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?

Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata yakiwepo nani kijijini anaweza kununua nguo moja laki au hata elfu 80 kwenda juu huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…