Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Aaangalie asiwekwe kwenye list ya kutoingia kwa trump
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaangalie asiwekwe kwenye list ya kutoingia kwa trump
hatimaye Baraza la mawaziri limepata mjumbe mwenye asili ya Asia.Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hatas hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.
Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi
Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu
Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.
View attachment 1337322
Sent using Jamii Forums mobile app
Malezi alivo baba mtoto huwa check sabaya na baba yakeMkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.
Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua Mchele ukishindwa kununua donaHii ndio ile Mtu anaambiwa Watu wameshindwa kununua mikate akashangaa kwa nini wasinunue keki.
Mkuu inashangaza na kwa alivyo jionyesha leo pale ikulu sio ajabu hata pale Saigon hatumuoni tenaAendelee kuimba mashahiri huu ndiyo muda wake.
Yani leo Zungu ni wa kusema mitumba ni uchafu kwenye mazingira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni mtihani. Kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kuuza mitumba. Mitumba inachafuwa vipi mazingira wakati inavaliwa ?
Hivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?
Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno tu hayo.
Ajue walikuwepo walionengua hadi viuno!
Muache abwabwaje tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuzwa na Mitumba Leo anaidharau utadhani kaingia mjini leo
Hata yakiwepo nani kijijini anaweza kununua nguo moja laki au hata elfu 80 kwenda juu hukoHivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?
Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.
Sent using Jamii Forums mobile app