mkuu unajua tatizo ni katiba yetu kwamba ili mtu awe waziri basi ni lazima mtu huyo awe mbunge.magufuli bana...asa huyu zungu kazeeka ana randuka hata kwenye picha ana jipya gani la kuleta kwenye the so called tanzania ya viwanda?
Mitumba sio nguo tu,kuna Magari,vyombo/ vifaa vya umeme,vifaa vya kutumia majumbani/jikoni,viatu,mikanda,mikoba,midori,baskeli n.k
Ni vizuri uwepo utaratibu wa grades za mitumba hasa nguo ili zisiletwe zilizochakaa (grade za mwisho) na kama zitakuwepo kwenye marobota utengenezwe utaratibu wa kuzichoma.
Mbali na kutoa ajira kwa vijana nchini,mitumba imewafirisi vijana wengi.
Ni fedheha kuvaa mitumba,ingawa inasaidia kubana matumizi ya gharama za maisha kwani sio wote wenye uwezo wa kununua vitu vipya vyenye gharama kubwa.
mfano nguo za watoto hasa kuanzia 1day-5yrs.
Kupigwa marufuku nguo za mitumba kutapingana na agizo la Mh.Rais la kuhimiza Watanzania kuzaana na kuongezeka,otherwise mkakati madhubuti wa kufufua viwanda vya nguo mpya zinazoendana na ubora wa nguo za mitumba kiupya wake kabla ya kuwa mitumba uzingatiwe.
Sambamba na hivyo mkakati mahsusi wa uanzishwaji wa vazi la Taifa nao uendane na hatua za ama kuondoa/kupunguza la nguo za mitumba ili Watanzania watu wazima waone fahari za kuvaa vazi la nchi yao kuliko kukimbilia uvaaji ambao unaruhusu uagizaji wa nguo za mitumba.(public dress codes)
mkuu unajua tatizo ni katiba yetu kwamba ili mtu awe waziri basi ni lazima mtu huyo awe mbunge.
sasa ngosha kashaokota okota huko wenye angalau wameisha kilichobaki sasa anateua yeyote tu kutoka humo bungeni potelea mbali hadi uchaguzi mkuu ufike bdae mwaka huu.
katiba ndio tatizo kuu, nje ya bunge kuna watanzania wenye uwezo mkubwa sana kiuongozi kuliko wale "dhaifu" wanaojiita waheshimiwa pale dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la mitumba serikali inatakiwa kua makini sana nalo. Kimsingi kama jumuiya EAC member state walishakubaliana siku nyingi zilizopita kupiga marufuku mitumba. Rwanda walifanikiwa kwa 100% ingawa waliwekewa vikwazo vya kiuchumi na Marekani mpaka leo ingawa havina makali kihivyo. Tanzania ilijaribu kupandisha kodi mara kwa mara serikali nadhani ilidhani wafanyabiashara wataacha wenywe. Kontena ilikua inalipiwa ushuru wa 15M ikapanda nadha kwa sasa kontena moja inalipiwa ushuru wa 90M lakini watu wanaingiza mitumba kama kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshiba,Mitumba ilimshinda nyerere ye ataweza kweli,
Embe halianguki mbali na mti wake na Wala mbuzi hazai Nyoka.Mkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.
Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu pitia upya maelezo niliyoyatoa na kama kuna sehemu haiko sawa edit with red ink ili tujifunze kuliko kusema kwa ujumla.Hakuna mtanzania hata mmoja mwenye kipato cha chini ambao kimsingi ndiyo tulio wengi hapa nchini atakaye kubaliana na huu ushauri wako.
Kumbuka leo hii kuna watu wanashindwa kuwapeleka watoto wao shule kisa kukosa mavazi.
Kuna wengine wanapata mlo mmoja tu badala ya milo mitatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embe halianguki mbali na mti wake na Wala mbuzi hawezi Zaa Nyoka.
Kijana muungwana mtoto wa kiongozi Muungwana(Ally Hassan Mwinyi).
Sent using Jamii Forums mobile app
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Hivi hao wanyonge ambao tunaambiwa ndio wanaongozwa na hii serikali ni wapi kama hata mitumbaambayo ilikuwa ni kimbilio la wengi nayo sasa inaaonekana kuchafua mazingira?
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Aendelee kuimba mashahiri huu ndiyo muda wake.
Yani leo Zungu ni wa kusema mitumba ni uchafu kwenye mazingira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Hapo ni mtihani. Kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kuuza mitumba. Mitumba inachafuwa vipi mazingira wakati inavaliwa ?
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Hivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?
Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.
Sent using Jamii Forums mobile app