Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Amekuzwa na Mitumba Leo anaidharau utadhani kaingia mjini leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Amekuzwa na Mitumba Leo anaidharau utadhani kaingia mjini leo
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Haa[emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji2][emoji2][emoji39][emoji39][emoji8]
Tujiandae Kuvaa Suti Nchi Nzima Kuanzia
Mjini Hadi Vijijini, Subira Inahitajika Unapopewa Cheo Ama Nafasi. Mengine Yanakera Yanachefua Sana
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Hii ndio ile Mtu anaambiwa Watu wameshindwa kununua mikate akashangaa kwa nini wasinunue keki.
Zungu hajazungumzia mitumba mtoa mada kaongezea tu.Mkuu sikuamini alicho kitamka lkn ndiyo hivyo tena maana mwenzetu tayari yupo matawi ya juu sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo wizara yenyewe kwanza. Ni malezi tu ya kiuongozi na jamii iliyomkuzaMkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.
Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tuambie kazungumzia nini?
Mkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.
Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana katuingiza chaka?.
Hiyo wizara yenyewe kwanza. Ni malezi tu ya kiuongozi na jamii iliyomkuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Hussein mwinyi amesoma QURAN Na anaishi kufuata misingi yake. Quran inakataza mja kujikweza. Ni kwa mantiki hiyo ndo mana msikitini watu wote ni sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, alichosema ni kuwa mitumba ni sehemu ya mazingira sema tu inashusha hadhi (kuna mahala hupaswi kuvaa mitumba kama alivyokuwepo yeye leo).
Kwa ni magufuli sio mzee ,huoni anayofanyamagufuli bana...asa huyu zungu kazeeka ana randuka hata kwenye picha ana jipya gani la kuleta kwenye the so called tanzania ya viwanda?