Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

Waulize wachangiaji haya maswali yako maana mimi ndiye nimepandisha huu uzi, naamini ukifuatilia kutoka no 1 hadi sasa ya 100+ utapata ABC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanajisahau sana.natamaani kuongea ila.najipenda
 
Mkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.

Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu ni mstaarabu, pia hajakulia kwenye shida na umaskini that's only.
 
Umevimbiwa kimpumu wewe siyo bure, yaani nyeupe unataka isomeke nyeusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa rafiki kama wewe ni mtoa mada unataka wachangiaji wafuate mawazo yako tu?
Toa mada acha watu wachangie wanavyoona wao kwa mitazamo yao.
Ok, sawa ebu tukufuate unavyotaka sasa,issue yenyewe ni ndogo unataka kuikuza.
Kwa taarifa yako hakuna atayeweza kuzuia biashara ya mitumba bila utaratibu endelevu wa kuwasidia wanyonge wanaotafuta ridhiki kupitia biashara hiyo.
Upo.......!!!!!!
Sisi huku kanda ya Ziwa hakuna hicho kinachoitwa Kimpumu,sielewi umeingizaje Kimpumu kwenye hoja ya msingi.
Na kwa ufupi mnapokuwa mnaanzisha mada muwe wavumilivu na wenye kutumia busara katika majibu ya watu kwa hoja zenu.
 
Hakuna fedheha kwenye kuvaa nguo za mitumba kama ambavyo hakuna fedheha kwenye kununua gari ya mtumba kutoka be foward.....it's all about perceptions and mindsets...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupid.

Yaani wanamtoa January wanaweka hii taka taka.
 
Mungu azidi kuwabariki wasivimbiwe na mapocho pocho wayapatayo na kuwafuatisha wenzao hao wanao jiaibisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
1:Kimpumu nimetumia Kama kiwakilishi cha kilevi baada ya kukuona kwa makusudi unataka kuupotosha ukweli wa rangi nyeupe kwenda kwenye nyeusi.

Nidhambi sana kutaka kuuvuruga uzi wa mwenzako kwa mapenzi yako kwa sababu unazo zijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…