Wazo: Anayepokea simu naye anatakiwa kuwa na salio

Hawataniwi hawa. Soon utamuona Bw. Madelu na scarf yake anakuja na wazo hili.
 
Napeleka wazo kwa mama kuwa
Inatakiwa anayepokea simu naye anatakiwa awe na salio ili kuweza kupokea.
Tutaboresha uchumi.
πŸ˜…
Hiyo ilikuwa zaman enzi vicha inaitwa dola.
Wakifanya hivyo sasa tutaanza piga tu simu za whatsapp na facetime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…