Wazo: Anayepokea simu naye anatakiwa kuwa na salio

Wazo: Anayepokea simu naye anatakiwa kuwa na salio

Kuna mdau humu aliweka wazo kua ili mtu aweke uzi ni lazima atie kibunda (Tsh 5k) , wengi wetu tulimuona ni juha ila naanza kuamini jamaa ana wazo zuri, na kwa hili wazo lake yeye walau alipwe 2k kwa kila uzi

Nyuzi za hovyo kama hizi ni pesa za bure kabisa kwa jf.
 
Kuna mdau humu aliweka wazo kua ili mtu aweke uzi ni lazima atie kibunda (Tsh 5k) , wengi wetu tulimuona ni juha ila naanza kuamini jamaa ana wazo zuri, na kwa hili wazo lake yeye walau alipwe 2k kwa kila uzi

Nyuzi za hovyo kama hizi ni pesa za bure kabisa kwa jf.
Wafanye kuwe na majukwaa ya kulipia na bure.. VIP pamoja na VVIP
 
Back
Top Bottom