Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka miwili nyuma nilipendekeza nasi tuwe na maktaba na makumbusho ya urais.
Maktaba na Makumbusho ya Urais [Presidential Libraries & Museums]
Maktaba na Makumbusho ya Urais [Presidential Libraries & Museums]
Makumbusho ya Taifa ( National Museums) sio National Archives. Hawa wanazungumzia Presidential Libraries kama ile anayojengewa Obama Chicago. Ni taratibu ya Kimarekani.Maktaba hizo huwa chini ya Ungalizi wa Makumbusho ya Taifa ( National Arc hives)
Mpaka Sasa sijaona shujaaMashujaa wenyewe wako wapi?
Au unamuwaza JPM aje azikwe Dom?
Naamini huyu ndo shujaa wako namba moja
Sawa ila hilo ni jukumu la makumbusho ya Taifa, lisiachwe pekee kwa wahusika.Makumbusho ya Taifa ( National Museums) sio National Archives. Hawa wanazungumzia Presidential Libraries kama ile anayojengewa Obama Chicago. Ni taratibu ya Kimarekani.
Amandla...
Kwa hiyo wengi ndo watapata nafasi ya kwenda Dodoma?
Mkuu Mimi sioni mantiki ya kuwa na Makaburi makao makuu ya nchi japo si wazo baya pia ila mimi naona Badala ya kutengeneza eneo moja na kuzika hawa dignitaries ni bora kwa Top Dignitaries kama Rais, VP au PM au Speaker wazikwapo vijijini kwao basi hapo pajengwe Library na viwekwe vitu vya hao viongozi hii itachangia utalii na mambo mengine mazuri katika huo mji, Inshu ya kuwa na national cemetery kwangu naona italeta Jam na kumbuka waamuzi wa mwisho wa Mpendwa wao azikwe wapi ni family hata mtu awe Rais ila still familia ndio final say japo ita consult na Serikali ndio mana baadhi ya familia baada ya ile Final tribute basi kunakuwa na Private burial inayo consist family members na waalikwa wachache, Fare thee well Ben
Mataifa ya wenzetu yanaheshimu sana mazishi inshu za public zitafanyika ila Katika kuzika Family ndio itaamua, Nadhani pia umefatilia Msiba wa Bush Sr 41, sijajua sheria zetuKuna kazi ukifikia level fulani unakua wewe ni mali ya Jamhuri sio familia tena
Kama ilivyokua kwa mujibu wa sheria(Ambayo naambiwa ilishafutwa??)
Mataifa ya wenzetu yanaheshimu sana mazishi inshu za public zitafanyika ila Katika kuzika Family ndio itaamua, Nadhani pia umefatilia Msiba wa Bush Sr 41, sijajua sheria zetu
Taifa lisilo na Mashujaa ni taifa lisilo na kumbukumbu...na kinyume chake ni kweli...
Sawa
[/QUOT
Eneo la Mashujaa lililokuwa limetengwa huko Dodoma kwa ajili kuzika viongozi lilishageuzwa matumizi yake. Rais Magufuli alimwuliza Mkapa endapo angetaka azikwe hapo, akakataa, vivyo hivyo kwa Mwinyi na Kikwete. Kwa kuwa JPM naye hakutakwa azikwe hapo, basi eneo likapatiwa matumizi mengine.
Umewaza kama mimiMashujaa wenyewe wako wapi?
Au unamuwaza JPM aje azikwe Dom?
Naamini huyu ndo shujaa wako namba moja
Zitajilipa wenyewehuko ni kuongeza garama kwa wapipa kodi
PakawaaaaaUmewaza kama mimi