Wazo: Eneo la Makaburi ya Viongozi na Mashujaa ya Kitaifa Haliko Tayari Dodoma?

Wazo: Eneo la Makaburi ya Viongozi na Mashujaa ya Kitaifa Haliko Tayari Dodoma?

Watanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.

Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?

Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.

Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP
Mkapa muache aende Mtwara. Tutaanza na JPM.
 
Seriously! Hizo ndio trivialities tunaziongeaga humu mara kwa mara . Who cares wanazikwa wapi! Hata waki wa-dissolve kwenye mapipa ya acid, poa tu.
 
Watanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.

Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?

Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.

Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP
makaburi siyo ishu wee mzee la msingi tuwe na kumbukumbu halisi za vifo vyao mfano vitabu na movie zikiwa na udhamini wa serikali siyo kumbukumbu za kufichaficha mfano kila Rupia, Sykes,kimario n.k na hasa mchango wao manake kijana wa 95 ukimuliza Bibi Titi sidhani Kama hata anamjua
 
Hili ni wazo langu. serikali ingetafuta eneo moja la kuzikia marais wataafu. Hili eneo pia linaweza kutumika kama utalii pia.
 
Hili ni wazo langu. serikali ingetafuta eneo moja la kuzikia marais wataafu. Hili eneo pia linaweza kutumika kama utalii pia.
lilikuwepo pale dodoma,magufuli amewapa wananchi mwaka jana au mwaka juzi hivi
 
Watanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.

Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?

Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.

Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP


Hakuna kiongozi anayetaka kuzikwa mahali ambako hakuzaliwa. Hii tabia ya kuanza kujenga makaburi ya viongozi tuwaachie wenye utaratibu huo. Turidhike na utaratibu wetu.
 
Taifa lisilo na Mashujaa ni taifa lisilo na kumbukumbu...na kinyume chake ni kweli...
Kumbukumbu zipo mkuu. Nenda Iringa Mkwawa ana sehemu yake au Butiama alipozikwa Mwl. JKN. au alipozikwa Sokoine tec. Mawazo yangu huu utaratibu tulionao ni mzuri sana.
 
Back
Top Bottom