Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #41
Kiongozi wa Kitaifa..na shujaa kwa wenginekwamba mzee mkapa alikuwa shujaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi wa Kitaifa..na shujaa kwa wenginekwamba mzee mkapa alikuwa shujaa?
Mkapa muache aende Mtwara. Tutaanza na JPM.Watanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.
Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?
Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.
Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP
Ili iwe nini??Miaka miwili nyuma nilipendekeza nasi tuwe na maktaba na makumbusho ya urais.
Maktaba na Makumbusho ya Urais [Presidential Libraries & Museums]
Maktaba na Makumbusho ya Urais [Presidential Libraries & Museums]
makaburi siyo ishu wee mzee la msingi tuwe na kumbukumbu halisi za vifo vyao mfano vitabu na movie zikiwa na udhamini wa serikali siyo kumbukumbu za kufichaficha mfano kila Rupia, Sykes,kimario n.k na hasa mchango wao manake kijana wa 95 ukimuliza Bibi Titi sidhani Kama hata anamjuaWatanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.
Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?
Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.
Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP
Ule ulipewa promo Kama fiesta huu wa mkubwa mzito hauhitaji maujinga ka ya kina RugeHuu msiba mbona umepoa sana? Ule wa marehemu Ruge na Mengi ulikuwa active sana. Kulikoni Wamatumbwi wenzangu?
Sawa ila naona mpoozo fulani si kawaida kwa raiaUle ulipewa promo Kama fiesta huu wa mkubwa mzito hauhitaji maujinga ka ya kina Ruge
Raia wamevurugwa na maisha kuliko kawaida, ndio maana hata siasa sijui hamasa za Mambo mengi ni kimya kizitoSawa ila naona mpoozo fulani si kawaida kwa raia
sio maujinga,che alikua haendi misibaniUle ulipewa promo Kama fiesta huu wa mkubwa mzito hauhitaji maujinga ka ya kina Ruge
lilikuwepo pale dodoma,magufuli amewapa wananchi mwaka jana au mwaka juzi hiviHili ni wazo langu. serikali ingetafuta eneo moja la kuzikia marais wataafu. Hili eneo pia linaweza kutumika kama utalii pia.
Jamani aende wapi na wapi hafu mfano kibongo wapuuzi wengi hupata airtime kuliko wanao fanya Mambo ya msingi kwenye jamiisio maujinga,che alikua haendi misibani
Watanzania wenzangu poleni kwa msiba wa Mzee Mkapa. Tunapoendelea kuijenga Dodoma Kama Makao Makuu, ule mpango wa kuwa na eneo la Makaburi ya viongozi na Mashujaa wa Kitaifa ulifikia wapi? Sidhani Kama mfumo wa kuwazika Viongozi/Mashujaa kila mtu kijijini ni endelevu kwani watasahaulika na kukumbukwa na watu wa kwao.
Mfano Edward M. Sokoine wengi hawajapata na hawatopata nafasi ya kutembelea Monduli. Hilo ni kweli hata kwa Mwalimu Butiama au kwa Dr. Omar Ali Juma na Mzee Marine, Kawawa, n.k. Tunawazika ili kuwasahau!?
Kwanini tusianzie na Mzee Mkapa na baadaye kuhamisha Mikki ha Viongozi na Mashujaa huko Dodoma? Huko mbeleni watu wakienda Dodoma wanaweza kuzuru Makaburi ya viongozi wetu na hata Mashujaa wa kale ( tukihamishia makaburi huko)...tujenge na Maktaba Kubwa itakayotunza historia ya Marais (presidential library) katika eneo Hilo.
Tuanze na Marehemu Mzee Mkapa....RIP
Kumbukumbu zipo mkuu. Nenda Iringa Mkwawa ana sehemu yake au Butiama alipozikwa Mwl. JKN. au alipozikwa Sokoine tec. Mawazo yangu huu utaratibu tulionao ni mzuri sana.Taifa lisilo na Mashujaa ni taifa lisilo na kumbukumbu...na kinyume chake ni kweli...
Hahahhha sema Mzee mwenzanguPakawaaaaa
Hili ni wazo langu. serikali ingetafuta eneo moja la kuzikia marais wataafu. Hili eneo pia linaweza kutumika kama utalii pia.