Wazo Fupi: Kama Rais Samia hakueleweka basi haeleweki na haelekei kueleweka

Wazo Fupi: Kama Rais Samia hakueleweka basi haeleweki na haelekei kueleweka

Na. M. M. Mwanakijiji...

Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.

Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.

Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.

Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...

Ataeleweka kabla ya 2025?
Keshasema yeye ni mama!
 
NAONA WAIMBA KWAYA TUH HAPO PEKEE WAMEKULA KIAPO,MPO KIMYAAA SIWASKII..BASI MNGEONA WAISLMA HAPO ZINGEJAA WARAKA KILA SEHEMU
 
Na. M. M. Mwanakijiji...

Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.

Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.

Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.

Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...

Ataeleweka kabla ya 2025?
Akiamua ataeleweka vizuri tu maana yeye ndiye aliyeshika mpini !🙏
 
Magufuli alikuwa mpiga kelele tu kwa wasio washikaji zake.Genge lake walikuwa wanapiga rasilimali za nchi kama kawa
Halafu kuwa mkali mkali sio kipimo cha utendaji
Kikwete alikuwa anatabasamu na mambo mengi kayafanya ya kimaendeleo
Stop overrating that dead-man
 
Mtu wa kuwanyoosha na kuitengenezaa hii nchi, ni mtu mfano wa Magufuli tu!
 
Rais kama demu tu na yeye ni demu tu so hakuna maajabu

Hata kama tunamkosoa Rais, ni muhimu kutumia lugha ya staha. Yule, kwa umri wake, ni mama. Huenda wewe, kwa umri wako ni kama mwanae. Lakini zaidi ya hayo, ni Rais. Kumwita demu, hata kama asingekuwa ni Rais, siyo sahihi kabisa.
 
URAIS BILA UKALI UWAJIBIKAJI NI ZERO.TUMERUDI KWA KASI NYUMA UWAJIBIKAJI UMEKUWA ZERO.KAULI YA RAIS NI KM MWIMBISHAJI WA KWAYA SHULE YA MSINGI
 
MAPAMBIO YAMEZIDI KWA WAFANYAKAZI WA SERIKALI KWSBB WANAKULA RAHA HAKUNA ANAWAFOKEA AU KUWAJIBISHA NAMBA MOJA AMEKUWA NA SAUTI YA KWANZA (sweet voice) tamu inawafanya wasinzie.MWENDAZAKE alikuwa na sauti ya ukali na hakuwa anataka utani wala mchezo kwa kazi.
 
Hata kama tunamkosoa Rais, ni muhimu kutumia lugha ya staha. Yule, kwa umri wake, ni mama. Huenda wewe, kwa umri wako ni kama mwanae. Lakini zaidi ya hayo, ni Rais. Kumwita demu, hata kama asingekuwa ni Rais, siyo sahihi kabisa.
MKUU ANAKAZI YA WATU AMEKUWA DHAIFU NA LEGELEGE MPAKA ANAUDHI.
 
Magufuli alikuwa mpiga kelele tu kwa wasio washikaji zake.Genge lake walikuwa wanapiga rasilimali za nchi kama kawa
Halafu kuwa mkali mkali sio kipimo cha utendaji
Kikwete alikuwa anatabasamu na mambo mengi kayafanya ya kimaendeleo
Stop overrating that dead-man
Chadema huwa ni vinyonga sana ninyi
 
Na. M. M. Mwanakijiji...

Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.

Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.

Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.

Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...

Ataeleweka kabla ya 2025?
Ukiona mtu analala na mafaili basi kuna muda anaoutumia vibaya akiwa ofisini.
 
Na. M. M. Mwanakijiji...

Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.

Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.

Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.

Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...

Ataeleweka kabla ya 2025?
Unapoteza muda wako bure kutazamia jambo jema kutoka wa mpumbavu
 
Back
Top Bottom