BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nyoko 😂😂😂Nimemiss bandari zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoko 😂😂😂Nimemiss bandari zangu
Keshasema yeye ni mama!Na. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?
Unamaan mbowe ni mzinzi au nimelewa vibaya .lakin pia ni mlevi ongezea hapoMmoja alikuwa mzinza aliyejifanya msukuma, na mwingine ni mchaga. Kama hujatosheka useme.
Akiamua ataeleweka vizuri tu maana yeye ndiye aliyeshika mpini !🙏Na. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?
Wema hawafi alisema Makamba.Ndo maana Mbowe hajakufa!Ipi tofauti ya mbowe na magufuli?
Wema hawafi mbona walikufa wakina Yesu na MohammadWema hawafi alisema Makamba.Ndo maana Mbowe hajakufa!
Mama yenu dhaifuuu sana, hana kauli za kimamlaka kabisa!.WAZALENDO WOTE NCHINI TUKO NA MAMA BEGA KWA BEGA
Rais kama demu tu na yeye ni demu tu so hakuna maajabu
MKUU ANAKAZI YA WATU AMEKUWA DHAIFU NA LEGELEGE MPAKA ANAUDHI.Hata kama tunamkosoa Rais, ni muhimu kutumia lugha ya staha. Yule, kwa umri wake, ni mama. Huenda wewe, kwa umri wako ni kama mwanae. Lakini zaidi ya hayo, ni Rais. Kumwita demu, hata kama asingekuwa ni Rais, siyo sahihi kabisa.
Chadema huwa ni vinyonga sana ninyiMagufuli alikuwa mpiga kelele tu kwa wasio washikaji zake.Genge lake walikuwa wanapiga rasilimali za nchi kama kawa
Halafu kuwa mkali mkali sio kipimo cha utendaji
Kikwete alikuwa anatabasamu na mambo mengi kayafanya ya kimaendeleo
Stop overrating that dead-man
Ukiona mtu analala na mafaili basi kuna muda anaoutumia vibaya akiwa ofisini.Na. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?
Kakojoe ukalale dogoChadema huwa ni vinyonga sana ninyi
Unapoteza muda wako bure kutazamia jambo jema kutoka wa mpumbavuNa. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?