Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huwa naona michezo ya mpira wa miguu ya timu za wanawake na ngumi inayohusisha wanawake kama haina mvuto mkubwa sana kwa watu wengi.
Hili suala lisichukuliwe kama ni ubaguzi wa kijinsia kwa sababu hata wengi wa wanawake wenyewe wanavutiwa zaidi na timu za mpira wa kiume kuliko timu zao.
Mimi nafikiri ingekuwa na maana zaidi wanawake wajikite kwenye michezo kama Netball(mpira wa mikono), Tennis, kuogelea na mingine ambayo wangeweza kufanya vizuri na kupewa umuhimu zaidi. Hii mingine kama soka, ngumi na mieleka wangewaachia wanaume tu.
Hili suala lisichukuliwe kama ni ubaguzi wa kijinsia kwa sababu hata wengi wa wanawake wenyewe wanavutiwa zaidi na timu za mpira wa kiume kuliko timu zao.
Mimi nafikiri ingekuwa na maana zaidi wanawake wajikite kwenye michezo kama Netball(mpira wa mikono), Tennis, kuogelea na mingine ambayo wangeweza kufanya vizuri na kupewa umuhimu zaidi. Hii mingine kama soka, ngumi na mieleka wangewaachia wanaume tu.