Ni mazoea tu toka enzi na enzi. Tumehubiriwa kazi, michezo, mavazi, etc kati ya two sexes. Vizazi vijavyo ,wanaozaliwa leo wakikuta wanawake katika michezo hiyo hawataona distinction! Ni sawa na ushogo, tunaona ni ushenzi kwa vile tumezaliwa tukiambiwa hivyo kila dakika kuwa ni dhambi, Mungu hapendi, jamii haipendi, tukachukia ushoga. Vizazi vijavyo after say 500 yrs kitakuwa kitu cha kawaida!