Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kuta ana PhD kama ile ya yule jamaaUlichoandika siyo Kiingereza bali ni Chongereza!
Sasa sijui kwa nini umeona heri uliweke hivyo hilo jambo, ambavyo limekuwa "fyatu" kweli kweli kama ulivyopendekeza.Tusene ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Jamaa gani,huyo jamaa yupo hai?unaweza kuta ana PhD kama ile ya yule jamaa
Kweli we jingalao, I we running the governmentndo kiingereza gani. Kuliko kujiaibisha kwa lugha usiyo imudi bora ungeandika kiswahili tu.kesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Hiki kiingereza chako kinaashiria hali mbaya huko CCM. Mwambieni Mama aache na kuepuka kubambika kesi watu wasio na hatia. HAKI itendekekesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Tunaita kizungu au kingereza?kesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Leo umerejewa na utimamu wakoTusene ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
kesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Kudisco chuo ilikuwa halali kwa kweli, hapa umeandika nini?kesi ifutwe kwa saabu ya kelele za mtandaoni?
I we running the Government kwa kelele za mtandaoni?
Kama ilivyo kwenye uchaguzi ndivyo itakavyokuwa kwenye kesi, kama hauridhiki kata rufaa.Tusene ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Pia uwaambie waache mara moja kutumia vibaya majina ya watu! Neno GAIDI siyo la kumuita tu kila mtu.Tuseme ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Ya ipitieli mbona walikubali na bado kuna kuilipa standard chartered bank MalaysiaTuseme ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Mkuu Mzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa kuileta hoja hii fikirishi. Pili naunga mkono hoja, ila naomba kuuliza maswali machache.Tuseme ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Taratibu ushaanza kurejesha akili zako!Tuseme ukweli tu...hadi pale serikali itakuwa na mfumo na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza, kupeleleza a kuleta mashtaka yenye kuweza kusimama mahakamani ni bora kuachana na kesi zisizoweza kushinda. #kesiyamboweifutwe, #serikaliilehasara. Watu watacheka lakini wataheshimu..
Nashukuru haya maswali mmeulizana wenyewe kwa wenyewe! Ukweli wote tunaoujua mnaujua!Mkuu Mzee mwenzangu Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa kuileta hoja hii fikirishi. Pili naunga mkono hoja, ila naomba kuuliza maswali machache.
- Neno "hadi pale serikali itakuwa na mfumo", does this mean kwa sasa serikali yetu haina mfumo?.
- Neno " Hadi pale serikali yetu itakapokuwa na vyombo vizuri vinanyoweza kuchunguza", does this means kwa sasa serikali haina
Mkuu. Tatizo kule "ugali umekata" hii ni njia mbadala ya kuangalia jinsi ya kuishi nje ya "ukanda" wadhani Bwana yule angelikuwa angalipo ungeliona bandiko aina hii???
Yaani nilishangaa sana, pamoja na kwamba na mimi sijui sana lakini sijawahi kusikia Kiingereza cha "I we running the government"unaweza kuta ana PhD kama ile ya yule jamaa
tumbo baba tumbo!!!Taratibu ushaanza kurejesha akili zako!
Lakini kwanini mtu uwe ndumilakuwili??