Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Viongozi wa juu wapo bize kutafuna ruzuku
Niliwahi kuchangia humu,nikauliza john mrema ,mkurugenzi wa halmashauri na bunge amejikita tu ufipa kusubiri apige ruzuku,huku wagombea hata kujaza fomu hawajui
Uongo utakusaidia nini ?
 
Dah!usiwakumbushe watu machungu aisee,Mbowe amekaa mahabusu miezi mingapi vile?mpaka xmass na mwaka mpya alivionea mahabusu kwa kesi za kijinga za uchaguzi na bado yeye na uongozi karibia wote wa juu wana kesi inaendelea eti unashauri chadema haikuwa na vijana wa kukomalia watendaji!?ili wapewe kesi za kuvuruga uchaguzi na uhujumu uchumi?wameshajitoa,maelekezo waliyopewa watendaji walivyoitwa ikulu tumeona matokeo yake maana hatukuwahi kushuhudia vioja kama hivi kabla,endeleeni tu na ushindi wa kishindo.
 
Dah!usiwakumbushe watu machungu aisee,Mbowe amekaa mahabusu miezi mingapi vile?mpaka xmass na mwaka mpya alivionea mahabusu kwa kesi za kijinga za uchaguzi na bado yenye na uongozi laribia wote wa juu wana kesi inaendelea eti unashauri chadema haikuwa na vijana wa kukomalia watendaji!?ili wapewe kesi za kuvuruga uchaguzi na uhujumu uchumi?wameshajitoa,maelekezo waliyopewa watendaji walivyoitwa ikulu tumeona matokeo yake maana hatukuwahi kushuhudia vioja kama hivi kabla,endeleeni tu na ushindi wa kishindo.
Mzee mwanakijiji ana Pepo mchafu si bure
 
Mzee una habari kuwa ACT ilikuwa na watu 173,593 walioomba kugombea kwenye serikali za mitaa lakini kati yao watu 166,649 Wameenguliwa, yaani 96% ya waliogombea kupitia ACT wameenguliwa je unalijua hilo?

Je una habari kuwa 97% ya waliotaka kugombea kupitia Chadema wameenguliwa?

Mzee una habari kuwa watu wote walioomba kugombea kupitia NCCR-Mageuzi katika wilaya ya Vunjo wameenguliwa?

Mzee Mwanakijiji acha kulaumu Victim, usishiriki karamu ya uonevu na udhalimu wa ajabuajabu, wewe ni mtu mzima achana na habari hizi mbofumbofu!
Umelinganisha na mwaka 2014,?
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
Ningejua kiwango chako cha elimu ningekulaumu. Any way unao Uhuru wa kutoa mawazo yako.
 
Yaani Tanzania nzima unataka utueleze leo mfano Dar pekee mitaa zaidi ya mia tano 28 tu ndiyo wameweza kujaza form vizuri. Yaani Chadema tu ndiyo hawajui kujaza form!! tumefika mbali sana hata wale niliowahi kuheshimu nakala zao ni pumba tu
Umeona hata fomu Moja iliyojazwa kwa usahihi na ikakataliwa?
 
Siku hizi akili uliyonayo inatosha kujua kilipo kitanda tu
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
Hata wangefanya kitu gani, kama lengo ni kuwaengua bado wangeenguliwa tu, ingeshindikana kwa fomu basi ingekuwa kwa wizi wa kura. Jifunze chaguzi za marudio za Ubunge zilivyokuwa.
 
Mzee Mwanakijiji chaguzi zilikuwepo miaka ya nyuma lakini si kwa uhuni huu. Watendaji wamefunga office watu wamekesha kusubiri office zifunguliwe sasa hapo upinzani wana mapungufu gani
Kwa nini haikutolewa semina endelevu kwa kila chama namna ya kujaza fomu.
Hivi unataka kutuaminisha chaguzi za nyuma ukiandika CHADEMA badala ya Chama cha Demokrasia....... walienguliwa?
Mkuu let's be realistic tusishabikie uonevu wa kiwango hiki tutaumia sote
Vyama vyote vina mapungufu mengi tu lakini HAKI ni ya lazima
Kwa hivi waliopita wamejaza fomu vizuri?
***Tuogope kukutana ng'ambo ile
 
Umeona hata fomu Moja iliyojazwa kwa usahihi na ikakataliwa?
Ukijibiwa Ndio utataka kuona na nakala ya hiyo fomu au?

Elewa Kwamba Wapo wapinzani walijaza kwa usahihi tena chini ya usaidizi/muongozo wa viongozi wao wa ngazi mbali mbali na bado wameenguliwa kwa sababu za kipuuzi tu.

Na wakati huo huo wanaCCM Wamekosea more than 5 times lakini walibadilishiwa form wakajaza tena na tena.

Tuache Ubishi na Ujuaji mwingi kwenye mambo yanayogusa haki ya wengine.
 
Kwanini kanunu ziwe mpya sio zilizotumika 2014?

Kwanini watendaji waitwe Ikulu mwezi kabla ya uchaguzi?

Kwanini mpaka leo Mbowe ana kesi ya kujibu baada ya kutaka haki itendeke kwenye uchaguzi wa Kinondoni? Wewe uelewi chochote kinachoendea Tanzania bora ungenyamaza tu.

Eti Ccm ambayo inaongoza kwa mbumbumbu imeweza kujaza form halafu vyama vingine vyote wameshindwa ayo maneno uliyoandika waambie wapumbavu tu ndio watakuelewa.
Umejibu kiusahihi kabisa. Asitupotezee muda akiwa hajui yaliyoko field ambako ukigeukia kushoto unaambiwa umekosea ni kulia, ukiandika Chadema unakuwa umeandika kifupi hakuna chama hicho lakini CCM kipo. Ni ujinga na upunguani tuu ndio maana tunasema hawa watendaji ingekuwa kule Ivory Coast wangekatwa viganja vyao na kubaki vilema.
 
Chadema ilifeli tangu ilipobadili katiba kumruhusu Mbowe awe Mwenyekiti wa kudumu na ilikuja kujizika 2015 baada ya kumkaribisha Lowasa
Napa na nakama walisema tumekabidhi nchi kwa mshamba,au hukusikia??
 
Huyu Mzee Mwanakijiji enzi zile ulikuwa unatoa makala za maana kwenye gazeti fulani. Ila siku hizi unakosa utashi wa kusimamia yaliyo kweli.
Ccm wamebaki wenyewe wapite bila kupingwa.
 
Mleta mada ni miongoni mwa watu wanaojidhalilisha sana humu JF. Anajifanya haoni uhuni na upumbavu unaofanywa na maCCM. Siku hizi anaandika upupu mtupu.

Bahati mbaya ni mtu ninayemfahamu kwa jina, sura na tabia. Ninamdharau sana.
 
Back
Top Bottom