Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
Sasa unakuwa synonym wa upuuzi...unaandika kana Kwamba Chadema waliruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa kuandaa wagombea wao...UNAANDIKA UJINGA SANA YAN!
 
Unaendeleza kosa lile lile wengine wanalifanya. CCM ndio chama kinachouunda na kuongoza serikali. Sera na sheria zote zimetungwa na CCM. Kwa misingi hiyo, utaona ni kwanini hilo unalotaka haliwezekeni. Namna pekee ya kuweza kusahihisha na kuadhibu CCM ni kuitoa madarakani kwanza. Au, kuombea na kusubiria aje mtu ambaye ataisafisha CCM kweli kweli kiasi cha kuweza kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa na usawa fulani wa kisiasa. Kwa mfumo wa sasa hili ni sawa na kusubiria mvua kwa kukinga mikono jangwani.

Mkuu naona unabariki na kuhalalisha sera za kiharamia.
Unaipenda kweli hii nchi au kwa kuwa uko ‘mbinguni’ Marekani basi si tatizo kwako tukitawaliwa na magenge ya uhalifu ambayo hapo mwanzo yalikuwa vyama vya siasa?
 
Ni lini CCM wamekuwa wakiheshimu sheria walizotunga wao wenyewe? usiniambie kuwa hili limeanza baada ya kuja Magufuli...
Hata kama sitasema hivyo, ujio wa Magufuli na staili yake ya uongozi na mambo mengine yasiyostahili kuandikwa hapa; yanafanya hali hii ya sasa iwe tofauti saaaana, na ile ya miaka iliyopita..., wewe hilo hulioni?

Hatukuwahi kusikia vyama vikipigwa marufuku kufanya siasa..., hii ni haki inayosimamiwa na Katiba. Hakuna aliyethubutu kuikiuka huko nyuma hata kama walitamani iwe hivyo.

Tuliona Mahakama, angalao kwa kiasi fulani zikijitahidi kulinda haki na usawa. Kuna wapinzani walioonewa na kuporwa ushindi, wakaenda mahakamani wakasikilizwa. Leo hii kwenda mahakamani ni kupoteza muda, au wewe huoni tofauti hiyo?

Sikuwahi kusikia haya matatizo ya kipumbavu kabisa ya watendaji kujificha na kufunga ofisi wasipokee fomu za wapinzani. Unaweza kutoa mfano wowote wa aina hiyo uliotokea huko nyuma?

Kauli tu zinazotolewa na viongozi : 'nikulipe mshahara, nikupe gari,..,n.k', ni kiongozi yupi aliyewahi kutoa vitisho vya aina hiyo huko nyuma.

Na ni kwa tofauti hizi ndio maana upinzani ulianza kukua na kushamiri..., na wananchi kuanza kuwa na uhuru wa kuwachagua viongozi wao kwa uwazi na bila vitisho.

Sasa hivi, kila jambo ni vitisho na kutumia polisi kudhibiti hata hiyo fursa ndogo iliyosalia.

Baada ya yote haya, bado unaweka mawani ya mbao usione utofauti kati ya sasa na huko tulikotoka. Hii ndio sababu unayofanya watu wasielewe lengo lako hasa ni nini unapoleta mada kama hizi hapa JF.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
we mzee kumbe unatakiwa ufe ili kizazi kiendelee japo sikuombei hilo mungu anisamee . we mzee hujui kama ofsi zilifungwa na fomu hazkuludishwa baadhi mpaka watu wakapiga kelele ndpo jafo akasema watendaji waskimbie mwandishi gan wew wahovyo unaeandika bila kufatia, hivi hata kwa mawazo ya kawaida vyama vyote vya upinzani vimeshindwa kujaza form emu waache chadema je ACT wazalendo nayo haikufundisha watu wake nimalize kwa kukutukana
 
Mkuu
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
[/QUOMkuu sikuhizi unahoja dhaifu sana..
Yaani hujajiuliza kwa nn this time ndio vyama vya upinzani tu ndio wakosee kujaza form?
Hujajiliza kwa nn ofisi zinafungwa mchana kweupe
Hujajiuliza kwa nn wachama kile hawakosei?
Hajajiuliza chadema inashiriki kwa mara ya ngapi huu uchaguzi?
 
Kweli Sasa Umezeeka, Hata zile Busara za Mawazo zimekupotea Mzee wetu wa Kijiji.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).
Imenibidi nirudi kwenye mada yako, nisome ile sehemu ambayo sikuisoma nilipoanza kuweka mawazo yangu juu ya mada hii.

Mzee Mwanakijiji, ukiwa mtu mwenye dhamira ya kweli, huru kabisa, na kusukumwa tu na mapenzi ya usalama wa nchi yako; sijui ni kipi kitakachokupa msukumo uyaandike hayo uliyoandika hapo juu!

Lakini hata kama msukumo unatokana na maslahi yanayotokana na kazi unayoifanya, nadhani dhamira ile ile ya kulijali taifa lako itakufanya uwe na mstari usioweza kuuvuka katika utetezi wa maslahi binafsi zidi ya ustawi wa taifa lako.

Nadhani nimehitimisha uchangiaji wangu katika mjadala wa mada hii.
 
Miaka yote watu wanajaza fomu, wengine ni wenyeviti wana mihura zaidi ya mmoja eti hawajui kujaza fomu akili za maji ya bendera ya kijani hizi.
 
Huyo mzee amekuwa mtu wa hovyo sana. Hata mimi nasikitika zamani kupoteza muda kumfuatilia. Kwasasa anafikiria kama mtu aliyechanganikiwa kabisa, hawezi tena kuhoji wala kuchanganua.
Wewe lizee hovyo sana ulitaka warudishe wapi form wakati watendaji walikuwa mafichoni kuwajazia wagombea wa ccm?

Kwani CHADEMA ni mara yao ya kwanza kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa?

Ni kwanini wagombea wa vyama vya upinzani tu ndiyo wameenguliwa kwenye uchaguzi ?

Hivi unataka kusema kwamba wagombea wa chadema wameenguliwa kwa uzembe wa chama ?

Kifupi wewe mzee unazeeka vibaya. Nasikitika sana kuwahi kupoteza muda wangu takribani 6 years nikisoma makala zako magazetini.
 
Eti mtu adinde kwenye ofisi za tume/kata "hatutoki hapa bila kupokea form" sasa si utafunguliwa kesi ya kuchochea vurugu kwani nani asiejua?

Au kama mpokeaji haonekani wewe utakomaa mpaka sangapi kumsubiri mtu asionekana
 
Mzee una habari kuwa ACT ilikuwa na watu 173,593 walioomba kugombea kwenye serikali za mitaa lakini kati yao watu 166,649 Wameenguliwa, yaani 96% ya waliogombea kupitia ACT wameenguliwa je unalijua hilo?

Je una habari kuwa 97% ya waliotaka kugombea kupitia Chadema wameenguliwa?

Mzee una habari kuwa watu wote walioomba kugombea kupitia NCCR-Mageuzi katika wilaya ya Vunjo wameenguliwa?

Mzee Mwanakijiji acha kulaumu Victim, usishiriki karamu ya uonevu na udhalimu wa ajabuajabu, wewe ni mtu mzima achana na habari hizi mbofumbofu!
Mzee Mwanakijiji unafahamu yote yaliyofanyika ila tu unatimiza wajibu kama ambavyo Selemani Jafo anafanya.
Hamuwezi kuaminisha na hamna haki ya kuwafanya watanzania wajinga kwa hilo. Kanuni ya mabadiliko inasema "nothing static". Watanzania kama siyo wamebadilika basi wana-undergo evolution process. Kwahiyo unahitajika uongo wa hali ya juu zaidi kumdanganya mtanzania huyu.
Kurudisha nyuma historia kuna kazi.
 
Unaendeleza kosa lile lile wengine wanalifanya. CCM ndio chama kinachouunda na kuongoza serikali. Sera na sheria zote zimetungwa na CCM. Kwa misingi hiyo, utaona ni kwanini hilo unalotaka haliwezekeni. Namna pekee ya kuweza kusahihisha na kuadhibu CCM ni kuitoa madarakani kwanza. Au, kuombea na kusubiria aje mtu ambaye ataisafisha CCM kweli kweli kiasi cha kuweza kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa na usawa fulani wa kisiasa. Kwa mfumo wa sasa hili ni sawa na kusubiria mvua kwa kukinga mikono jangwani.

Mvua huwa inanyesha jangwani.

Amandla.......
 
Leo nimesoma mahali kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa amesema kuwa kuna kuna chama kimeandikishwa kama Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kwa hiyo waliojaza ACT Wazalendo walistahili kuenguliwa kwa sababu hamna chama kama hicho. Huyu Mheshimiwa amesahau kuwa acronym ikiwekwa kwenye parantheses baada ya jina kamili lenyewe inamaanisha kuwa acronym hiyo inaweza kutumika badala ya jina kamili. Katika mazingira kama haya isingesaidia kitu hata kama wangerudisha fomu siku ya kwanza maana inaelekea kuwa wasimamizi walikuwa hawana nia ya kuhakikisha kuwa wale wote waliotaka kugombea wanapata nafasi hiyo. Ili kukata mzizi wa fitna fomu ZOTE zilizowasilishwa zingewekwa wazi ili wananchi wajionee wenyewe.

Amandla.....
 
Back
Top Bottom