Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.
Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??
Yaani tunaua mitihani ya form four pamoja form six. Mtihani mkuu wa Secondary unakuwa mmoja tu wa form five.
Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.
Ni mimi,
Alex Muuza Maembe.
======
Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??
Yaani tunaua mitihani ya form four pamoja form six. Mtihani mkuu wa Secondary unakuwa mmoja tu wa form five.
Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.
Ni mimi,
Alex Muuza Maembe.
======