Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #61
Idea nzuri sana hii pia mkuu..Kenya wapo sahihi kabisa ...vyuo vyetu wanaingia wa mama na kufanya mambo ya ajabu umri mkubwa wamesha choka shule kutokana na mlolongo mrefu wa elimu...
Primary 8 yrs
Secondary 4 yrs
Chuo....kazi kwisha tatizo ccm ni wapumbavu