Wazo: Je, tunaweza kuifuta form six? Yaani Mwanafunzi akianza form one (Non-stop) aende mpaka form five, alafu anajiunga na chuo?

Wazo: Je, tunaweza kuifuta form six? Yaani Mwanafunzi akianza form one (Non-stop) aende mpaka form five, alafu anajiunga na chuo?

Elimu ambayo inahitajika kuwepo zaidi ni ELIMU ya maisha na kujitambua .

MTU akiwa anajitambua kwake Maisha anayaanza akiwa tayari ameshafunga goli moja 1-

Kusoma mambo mengi ambayo haujui wapi ukayatumie kunapoteza muda wa Mwanafunzi.


Hii inapelekea MTU aliyapta A ya history ndo MTU huyo huyo anashindwa kuithamani kesho yake anakuwa mlevi n.k


Tunahangaika Sana with zero benefits.
 
Elimu ambayo inahitajika kuwepo zaidi ni ELIMU ya maisha na kujitambua .

MTU akiwa anajitambua kwake Maisha anayaanza akiwa tayari ameshafunga goli moja 1-

Kusoma mambo mengi ambayo haujui wapi ukayatumie kunapoteza muda wa Mwanafunzi.


Hii inapelekea MTU aliyapta A ya history ndo MTU huyo huyo anashindwa kuithamani kesho yake anakuwa mlevi n.k


Tunahangaika Sana with zero benefits.
Ninaheshimu pia wazo lako mkuu..
 
Tunaweza kufuata form five na six ila form four ikawa form six na form two ikawa form four na la Saba. Ikawa form two na la nne ikawa la Saba.
Kwa kuweka mitaala inayo endana na mahitaji yetu .
Mengine ambayo si ya lazima. Yakawekwe jkt ,ambapo kuwe na kambi za kibiashara ,kimkakati ambapo watazalisha na kuexport nje na watakaokuwa jeshini Kwa ajili ya uzalishaji watalipwa mshahara WA mkataba.
 
Kufuta form six na mitihani ya form four kunaweza kuondoa hatua muhimu za kupima uwezo wa wanafunzi.

Pia kufuta ngazi hizo kunaweza kuwaondolea wanafunzi muda wa kupumzika na kuwafanya wakose muda wa kujijenga kiakili na kisaikolojia. Mapumziko ni sehemu muhimu ya safari ya elimu.

Mtu asome miaka7 ya primary + 6 ya secondary mfululizo = miaka 13 kila siku unaenda shuleni. Wangapi wangechoka masomo?
 
Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.

Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??

Yaani tunaua mitihani ya form four pamoja form six. Mtihani wa Secondary unakuwa mmoja tu wa form five.

Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
======
NILISHA SEMA HAPA KUWA A-LEVEL yote ifutwe .. sema tatizo nchi imejaa viongozi mazuzu ...primary miaka 8 secondary miaka 4 kwisha ...kinacho takiwa kwa primary ni kuwa na primary advance yaani darasa la 7 na la 8 liwe sawa na form 2 ya sasa..
Faida ni nyingi kufanya hivi

1)ingeondoa obwe la kisaikoloji linalo wafanya wanafunzi kuchoka shule kwa kuona kuna A level baada ya kumaliza O level...hivyo wanafunzi wangesoma kwa bidii sana wakijua wakimaliza miaka 4 ya secondary ni Chuo moja kwa moja.

2)shule zote za ALevel zingegeuka kuwa O level na kuongeza idadi ya shule.

3)inge ondoa usumbufu wa wanafunzi kutafuta shule za A level maana zitakuwa hakuna.

⁴)walimu wote wa A level wange jiunga pamoja na O level na kuongeza idadi ya walimu

5)ingepunguza gharama za serikali kwenye mambo ya mitihani kwa kuondoa form 6 ...
Faida ni nyingi sana
 
Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.

Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??

Yaani tunaua mitihani ya form four pamoja form six. Mtihani wa Secondary unakuwa mmoja tu wa form five.

Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
======
Inawezekana hata hiyo form v isiwepo kabisa mwisho iwe form iv kama majirani zetu kenya
 
NILISHA SEMA HAPA KUWA A-LEVEL yote ifutwe .. sema tatizo nchi imejaa viongozi mazuzu ...primary miaka 8 secondary miaka 4 kwisha ...kinacho takiwa kwa primary ni kuwa na primary advance yaani darasa la 7 na la 8 liwe sawa na form 2 ya sasa..
Faida ni ngingi kufanya hivi

1)ingeondoa obwe la kisaikoloji linalo wafanya wanafunzi kuchoka shule kwa kuona kuna A level baada ya kumaliza O level...hivyo wanafunzi wangesoma kwa bidii sana wakijua wakimaliza miaka 4 ya secondary ni Chuo moja kwa moja.

2)shule zote za ALevel zingegeuka kuwa O level na kuongeza idadi ya shule.

3)inge ondoa usumbufu wa wanafunzi kutafuta shule za A level maana zitakuwa hakuna.

⁴)walimu wote wa A level wange jiunga pamoja na O level na kuongeza idadi ya walimu

5)ingepunguza gharama za serikali kwenye mambo ya mitihani kwa kuondoa form 6 ...
Faida ni nyingi sana
Hakika umetiririka vema sana mkuu..
 
Kufuta form six na mitihani ya form four kunaweza kuondoa hatua muhimu za kupima uwezo wa wanafunzi.
Mkuu, mwanafunzi si anafanya mtihani wa jumla kila baada ya mwaka mmoja?? Na mtihani wa Taifa atakutana nao form two pamoja na form five??..
 
Pia kufuta ngazi hizo kunaweza kuwaondolea wanafunzi muda wa kupumzika na kuwafanya wakose muda wa kujijenga kiakili na kisaikolojia. Mapumziko ni sehemu muhimu ya safari ya elimu.
Kenya wanasoma miaka 8 primary. Wao wanapumzika muda gani mkuu??..
 
Back
Top Bottom