Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
Inawezekana kabisa, na ni wazo zuri naliunga mkono.Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.
Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??
Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.
Ni mimi,
Alex Muuza Maembe.
======
Eleza sababuIfutwe kwa wanaosoma Arts ila sio kwa wale wazee wa PCM,PCB, CBG ...
Kidogo huwa inawapa mwanga wakifika Chuo kikuu
Waliosoma hizo Kombi wanajua Advance imewasaidiaje baada ya kufika chuo...
Asante kwa ku-comment..Joined 13 december yahn mwenzi huu leo ndio umetimiza week una vurugu sana.
Okay..Inawezekana kabisa, na ni wazo zuri naliunga mkono.
Huo ni mtizamo wangu tu..Shotikati.....
Hayo ni mawazo yangu tu mkuu..Kitakachobadilika kwenye mtaala ni nini kama ikifutwa ?
Kwanini mkuu?? May you please give more elaboration??..Ifutwe kwa wanaosoma Arts ila sio kwa wale wazee wa PCM,PCB, CBG ...
Kidogo huwa inawapa mwanga wakifika Chuo kikuu
Waliosoma hizo Kombi wanajua Advance imewasaidiaje baada ya kufika chuo...
Hapa nawazungumzia waliofanikiwa kusoma Course za Sayansi chuoni
Form five akafanye nini tena!?Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.
Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??
Karibu kwa mjadala na pia ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism) pasipo kutumia lugha za matusi wala kejeli.
Ni mimi,
Alex Muuza Maembe.
======
Asante kwa ku-comment..Mie naona mtoto akizaliwa apewe tu degree yake Kama cheti cha kuzaliwa tu kwani Kuna nini wandugu
Ninaheshimu pia wazo lako mkuu..Tunaweza kufuata form five na six ila form four ikawa form six na form two ikawa form four na la Saba. Ikawa form two na la nne ikawa la Saba.
Kwa kuweka mitaala inayo endana na mahitaji yetu .
Mengine ambayo si ya lazima. Yakawekwe jkt ,ambapo kuwe na kambi za kibiashara ,kimkakati ambapo watazalisha na kuexport nje na watakaokuwa jeshini Kwa ajili ya uzalishaji watalipwa mshahara WA mkataba.
Hakutakuwa na mtihani wa form four wala form six. Mtihani wa Secondary unakuwa mmoja tu ambao ni mtihani wa form five..Form five akafanye nini tena!?