Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
🤣😂😁😁Regardless of gender, many members here are more into lowbrow type of things.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂😁😁Regardless of gender, many members here are more into lowbrow type of things.
It’s the cold hard truth.🤣😂😁😁
Hata wakihamia huko watakua na la kuchangia hao wamezoea kujibebisha na '''basi sawa...sa itakuaje...jomooni...basi tyuuu😂😂 ''' Sa mtu wa hivyo hata ukimpeleka site akasimamie mafundi si wanampiga na yeye kakaa hapo hapo hajui hata mfuko mmoja wa cement fundi anatakiwa ajengee tofali ngapi iNgoja wahamie majukwaa uliyoyabainisha
Sahihi kabisa mkuuRegardless of gender, many members here are more into lowbrow type of things.
ExactlyIt’s the cold hard truth.
...... kwakweli tukifuata muongozo wa mtoa mada, uongo mbaya huyu bibie yuko vizuri sana saaana....Missy Gf na jukwaa la ujenzi atakuwa anafaa sana, hem ngoja kwanza...🤪
Jichanganye ckuTo yeye ni wife material shida ni single mom na mzazi mwenzake yupo hai
Nawashauri vijana msome kitabu kinaitwa "The Perfumed Garden" cha Sheikh Nefzawi, kabla hujaowa au kuolewa.Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.
Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!
Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.
1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.
2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!
Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!
Upepo wa Pesa.
JF kuna mademu wa aina 2.Yuko sahihi alichoandika.
Ogopa sana mwanamke mpenda umbea na kuongelea mapenzi kila wakati.
Tarajia matukano ya kutosha mleta mada, ingawa ni ukweli kwa kiasi chake.
Mimi napenda umbea na sijali, akili za kaka mzuri zinatosha kuniongoza.Yuko sahihi alichoandika.
Ogopa sana mwanamke mpenda umbea na kuongelea mapenzi kila wakati.