Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Ngoja wahamie majukwaa uliyoyabainisha
Hata wakihamia huko watakua na la kuchangia hao wamezoea kujibebisha na '''basi sawa...sa itakuaje...jomooni...basi tyuuu😂😂 ''' Sa mtu wa hivyo hata ukimpeleka site akasimamie mafundi si wanampiga na yeye kakaa hapo hapo hajui hata mfuko mmoja wa cement fundi anatakiwa ajengee tofali ngapi i
 
Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.

Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!

Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.

1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.

2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!

Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!

Upepo wa Pesa.
Nawashauri vijana msome kitabu kinaitwa "The Perfumed Garden" cha Sheikh Nefzawi, kabla hujaowa au kuolewa.
 
Yuko sahihi alichoandika.
Ogopa sana mwanamke mpenda umbea na kuongelea mapenzi kila wakati.
JF kuna mademu wa aina 2.

Kuna wale wako vikundi vikundi,hao umbea na kujibebisha bebisha.Hawa ni wataka ndoa au madanga.Hawa wanasoma upepo wanaume wanalalamikia nini juu ya wanawake then wanajiweka vile wanaume wanapenda.Atajifanya mpole hapa,hata wanaume tuseme kitu chakukandamiza mwanamke hatajitoa kusema ili kulinda image yake ya mke mwema mpole.Hawa wakipatta ndoa ndo hutoa makucha.

Kundi la pili wako kivyao vyao.Ni wanawake wasotaka makundi wala mashosti.i.Hawaogopi kutoa maoni yao.Hawaogopi wanaume watawaona vipi sababu wako hapa kujifunza na kufunza wengine na kwao JF ni sehemu yakupitishia muda baada ya majukumu.Hawajali likes wala quotes.Anaandika anachoamini anasepa.
 
Back
Top Bottom