Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
Habari wakuu.
Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.
Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari wanafanya (reference country is India).
Kwa mazingira yalipo Tanzania kwa sasa idea hii Ni wakati wake.
Wazo linahitaji initial capital ya 150,000,000/-,
kiasi hiki kinahusisha
1.Usajili wa kampuni.
2.Gharama za Vikao vya uuzaji wa hisa(maximum vikao viwili kama,itakua ni lazima kuuza hisa).
3.Gharama za Vikao vya wadau muhimu wa mradi ambao Ni sehemu katika utekelezaji wa mradi,katika majiji,tukianza na Dar es salaam.
2.Ununuaji wa mitambo (saver na ving'amuzi vyake,pamoja na backup system).
3.Office rent for six months (idea probation period).
4.Workers sararies for six months
5.Office furniture
6. System installation cost
MUDA WA MATAZAMIO YA MRADI
*Muda wa kutazamia ufanisi wa wazo Ni miezi sita.
BIDHAA
*Bidhaa ya biashara yetu Ni huduma (service).
WATEJA
Wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanaotaka kujitangaza.
USHINDANI WA MFUMO.
Hakuna washindani wa mfumo huu kwa Sasa,ila wanaweza kuibuka baada ya mfumo kuanzishwa.
SEHEMU YA MRADI YENYE UWEKEZAJI MKUBWA
*Gharama kubwa ya uwekezaji katika wazo inaenda katika ununuaji na ujenzi wa mitambo.
USIMAMIAJI WA WAZO.
Wazo litasimamiwa na mtoa wazo,katika kufikia lengo,lakini pia mtoa wazo ana proffessional inayoendana na mradi hasa katika usimamizi na uendeshaji mitambo hiyo,licha ya utoaji wazo lakini pia Ni mtendajii,ikiwemo ubunifu katika utendaji,uendeshaji wa mifumo na ujenzi.
UUZAJI WA WAZO
Endapo wazo litatoa matokeo chanya,thamani ya wazo itabakia ndani ya kampuni,mtoa wazo atabaki Kama mwekezaji mweza kwa asilimia 30% ya mtaji ulio wekezwa bila kikomo cha muda.
UWASILISHAJI WA WAZO
Kwa wadau ambao watakua interested Nisinge penda kutuma mukhtasari wa wazo (idea) kwa njia hii ya PM au Email,ningependa tufanye appointment ya kikao Cha uwasilishaji wa wazo( idea presentation).
Location ni Dar es Salaam
Call 0682210453/whatsup
UPDATES...
INCOME GENERATION FROM THIS PROJECT(targeting minimum audience)
The main source of our income generation is an advertisements from our clients, in order to advertise we need active audience in promising number.
Our system by default will assure us with 100 to 300 people with whom will be reached by an advert per day for single decoder installed.
This means if 100 of devices installed we will have 10,000 to 30,000 number of
people who will reached by an advert per day (active audience).
Per month,assurance of an active audience will be 10,000 x 30 = 300,000 (minimum) to 900,000 (maximum).
Advertisement price per day per *single advert may be set to Tsh 3/- per single person within an audience.
In this case our Clients will pay Tsh per person within an audience,in this case income will be as follows.
MINIMUM ICOME GENERATION WITH MINIMUM AUDIENCE PER MONTH
Single advert will be pricing Tsh 900,000/- per month,equal to Tsh 30,000/- per day
This means in order for the advert to be transmited with our system the owner of an advert (company or an
individual) must pay 900,000/- per month, for his advert to reach default of 300,000 to 900,000/- active people per month.
MINIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE
*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 50 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-
Therefore
3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/-
Minimum number of adverts per month is 50 x 900,000/-
Tsh =45,000,000/- of income.
NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project
NOTE: This calculated income may decline unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
MAXIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE
*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 100 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-
Therefore
3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/- per month.
Maximum number of adverts per month is 100 x 900,000/-
Tsh =90,000,000/- of income.
NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.
TOTAL RUNNING COST FOR SIX MONTH (minimum).
*Total running cost for 6 months for a Company is
Tsh 35,800,000/- ( USD 15,000/-)
*For one month is approximated to Tsh 6,000,000/- (USD 2500).
*Both investment cost and running cost comprise of Tsh
150,000,000/-
approximately to Tsh 150,000,000/- , or USD 60,000/-
NOTE: Running cost projected within 6 months.
NOTE: This calculated cost may increase for 30% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.
1. PROJECT CAPITAL INVESTMENT AND MANAGMENT.
(i) Only one investor can invest in this project, if the capital of the main investor is not enough to start-up or run this project, more capital for investment of this project
may be generated from selling shares for stakeholder with whom interested with
thes project.
(i) There must be main investor who hold more than 50% of a company shares, this is
the owner of the company.
(ii) The main investor will register a company with their names, and other investor
remain as shareholders of a company.
(iii) Each shareholders will earn profit according to their percentage of investment, if project has one investor, with whom invested capital in project for 100%,will earn 100% of Net profit generated.
2. SHARES DISTRIBUTION AND PROFT ANALYSIS.
(i) Project capital = Tsh 150,000,000/-
(ii) Main investor shares must not be less than 50% = Tsh 75,000,000/-
(iii) Only 10 shares are for sell, this means each share will cost Tsh 7,500,000/-
(iv) For 7,500,000 = 5% of total capital, therefore 5% of Net profit will be distributed for
each shareholder.
3. MANAGEMENT
(I) Chief executive Director (C.E.O),this is the main investor with more than
50% of shares within the company.
(II) Managing Director (M.D),Project Manager
(III) Shareholders
(IV) Stakeholder
(V) Staffs
NOTE: Initiation of this project can start slow, with the availability of capital,
UPDATES
PDF file with general idea review included
Download👇👇👇👇
Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.
Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari wanafanya (reference country is India).
Kwa mazingira yalipo Tanzania kwa sasa idea hii Ni wakati wake.
Wazo linahitaji initial capital ya 150,000,000/-,
kiasi hiki kinahusisha
1.Usajili wa kampuni.
2.Gharama za Vikao vya uuzaji wa hisa(maximum vikao viwili kama,itakua ni lazima kuuza hisa).
3.Gharama za Vikao vya wadau muhimu wa mradi ambao Ni sehemu katika utekelezaji wa mradi,katika majiji,tukianza na Dar es salaam.
2.Ununuaji wa mitambo (saver na ving'amuzi vyake,pamoja na backup system).
3.Office rent for six months (idea probation period).
4.Workers sararies for six months
5.Office furniture
6. System installation cost
MUDA WA MATAZAMIO YA MRADI
*Muda wa kutazamia ufanisi wa wazo Ni miezi sita.
BIDHAA
*Bidhaa ya biashara yetu Ni huduma (service).
WATEJA
Wafanyabiashara wadogo na wakubwa wanaotaka kujitangaza.
USHINDANI WA MFUMO.
Hakuna washindani wa mfumo huu kwa Sasa,ila wanaweza kuibuka baada ya mfumo kuanzishwa.
SEHEMU YA MRADI YENYE UWEKEZAJI MKUBWA
*Gharama kubwa ya uwekezaji katika wazo inaenda katika ununuaji na ujenzi wa mitambo.
USIMAMIAJI WA WAZO.
Wazo litasimamiwa na mtoa wazo,katika kufikia lengo,lakini pia mtoa wazo ana proffessional inayoendana na mradi hasa katika usimamizi na uendeshaji mitambo hiyo,licha ya utoaji wazo lakini pia Ni mtendajii,ikiwemo ubunifu katika utendaji,uendeshaji wa mifumo na ujenzi.
UUZAJI WA WAZO
Endapo wazo litatoa matokeo chanya,thamani ya wazo itabakia ndani ya kampuni,mtoa wazo atabaki Kama mwekezaji mweza kwa asilimia 30% ya mtaji ulio wekezwa bila kikomo cha muda.
UWASILISHAJI WA WAZO
Kwa wadau ambao watakua interested Nisinge penda kutuma mukhtasari wa wazo (idea) kwa njia hii ya PM au Email,ningependa tufanye appointment ya kikao Cha uwasilishaji wa wazo( idea presentation).
Location ni Dar es Salaam
Call 0682210453/whatsup
UPDATES...
INCOME GENERATION FROM THIS PROJECT(targeting minimum audience)
The main source of our income generation is an advertisements from our clients, in order to advertise we need active audience in promising number.
Our system by default will assure us with 100 to 300 people with whom will be reached by an advert per day for single decoder installed.
This means if 100 of devices installed we will have 10,000 to 30,000 number of
people who will reached by an advert per day (active audience).
Per month,assurance of an active audience will be 10,000 x 30 = 300,000 (minimum) to 900,000 (maximum).
Advertisement price per day per *single advert may be set to Tsh 3/- per single person within an audience.
In this case our Clients will pay Tsh per person within an audience,in this case income will be as follows.
MINIMUM ICOME GENERATION WITH MINIMUM AUDIENCE PER MONTH
Single advert will be pricing Tsh 900,000/- per month,equal to Tsh 30,000/- per day
This means in order for the advert to be transmited with our system the owner of an advert (company or an
individual) must pay 900,000/- per month, for his advert to reach default of 300,000 to 900,000/- active people per month.
MINIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE
*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 50 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-
Therefore
3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/-
Minimum number of adverts per month is 50 x 900,000/-
Tsh =45,000,000/- of income.
NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project
NOTE: This calculated income may decline unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
MAXIMUM INCOME GENERATION IN MINIMUM AUDIENCE
*Decoder Installed = 100
*Active audience = 300,000 people (per month).
*Minimum target adverts are 100 (per month)
*Price for advert Tsh 3/-
Therefore
3tsh x 300,000 people = Tsh 900,000/- per month.
Maximum number of adverts per month is 100 x 900,000/-
Tsh =90,000,000/- of income.
NOTE: This calculated income may decline for 50% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.
TOTAL RUNNING COST FOR SIX MONTH (minimum).
*Total running cost for 6 months for a Company is
Tsh 35,800,000/- ( USD 15,000/-)
*For one month is approximated to Tsh 6,000,000/- (USD 2500).
*Both investment cost and running cost comprise of Tsh
150,000,000/-
approximately to Tsh 150,000,000/- , or USD 60,000/-
NOTE: Running cost projected within 6 months.
NOTE: This calculated cost may increase for 30% unexpectedly due to various factors especially in early stage of project.
Stabilization will depend upon the management and marketing situation,with a time.
1. PROJECT CAPITAL INVESTMENT AND MANAGMENT.
(i) Only one investor can invest in this project, if the capital of the main investor is not enough to start-up or run this project, more capital for investment of this project
may be generated from selling shares for stakeholder with whom interested with
thes project.
(i) There must be main investor who hold more than 50% of a company shares, this is
the owner of the company.
(ii) The main investor will register a company with their names, and other investor
remain as shareholders of a company.
(iii) Each shareholders will earn profit according to their percentage of investment, if project has one investor, with whom invested capital in project for 100%,will earn 100% of Net profit generated.
2. SHARES DISTRIBUTION AND PROFT ANALYSIS.
(i) Project capital = Tsh 150,000,000/-
(ii) Main investor shares must not be less than 50% = Tsh 75,000,000/-
(iii) Only 10 shares are for sell, this means each share will cost Tsh 7,500,000/-
(iv) For 7,500,000 = 5% of total capital, therefore 5% of Net profit will be distributed for
each shareholder.
3. MANAGEMENT
(I) Chief executive Director (C.E.O),this is the main investor with more than
50% of shares within the company.
(II) Managing Director (M.D),Project Manager
(III) Shareholders
(IV) Stakeholder
(V) Staffs
NOTE: Initiation of this project can start slow, with the availability of capital,
UPDATES
PDF file with general idea review included
Download👇👇👇👇