Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Ni kweli.Nasoma comment zako unaonekana una chuki Kali sana na maendeleo ya mtu na kuambiwa ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli.Nasoma comment zako unaonekana una chuki Kali sana na maendeleo ya mtu na kuambiwa ukweli.
Nirushie bando nisome hiyo update kuna investor Nikita nganishe naeUpdate...
PDF file with general idea review included
Whats about DUNDA
Whats about DUNDA
Unamlinganishaje binti mpambanaji kama huyo na huyu jamaa anayetaka kupewa tu 150 million kwa ndoto yake ya mchana?
****Digital marketing inahusisha fb, insta nk. Huko hata amefanikiwa kupata followers wa kutosha ndio afikirie kuna faala wa kumpa 150m?
******
Aanze na kitu kisichohitaji hela nyingi kama social media marketing, na kikifanikiwa watu watampa tu mamilion wala hatakuja Jf kuomba.
Kwa mtindo huo, hatatimiza ndoto yeyote kubwa maishani. Zitabakia ndoto tu. Hata Fb ilianza kwa bweni bila hela yeyote, amazon kwa garage, nk. Watu wasitake kuanzia ngazi ya juu, maisha na biashara itakayosimama vizuri ni lazima uanzie ngazi ya chini
www.toolbox.com
HapanaJe, target yaki ni kuanzisha kitu kama hiki: Quickr.in ??
OkPole sana, jaribu kwenda ushauri nasaha for counseling kabla hujawa chizi!