Wazo makini: 'BlackBox Education' ni mtego wa kifo cha Tanzania na Africa

Asante sana kwa mada yenye kutia matumaini ya kujua tatizo.
 
Ile kuleta maendeleo kwa watu ni lazima uwepe maarifa ambayo yataleta mageuzi ya fikra,hapa ndipo umuhimu wa elimu sahihi huja.Kwa bahati mbaya Afrika,Elimu sio muhimu kama siasa za maji taka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…