Kwa ambao mtakuwa mmenielewa, nawakaribisha sana mtoe michango. Kukaa kila mwaka tunasingizia sera na kuzibadilisha, wakati mzizi wa tatizo hauguswi, ni kupoteza muda na pesa na kujidanganya. Blackbox education haitaifanya Tz itoboe, katika eneo lolote kitaaluma, kiteknolojia, na kifikra.
Asanteni sana na karibuni tuelimishane.