Wazo: WanaJF naomba tufanye shukrani kwa Mungu ya kufunga na kufungia mwaka kwa kutoa msaada kwa wahitaji

Wazo: WanaJF naomba tufanye shukrani kwa Mungu ya kufunga na kufungia mwaka kwa kutoa msaada kwa wahitaji

Kuonana tu na watu mnaogopa, pesa zao mwazitakia nini?

By the way ishawahi fanyika activity fulani Ocean Road once, mwaka nimesahau
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka km lofa ujue
Mbona najulikana sana!
Sitaki miye [emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hizo pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliwahi kufanya na tulifanikiwa! Yes we can do it again! Sema mawazo mgando hayakosekani! Ngoja nitafute Uzi ambao tuliandaa na tukaenda kuwatembelea pale Ocean Road Hospital

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakumbuka sana wakati huo daa
Mbarikiwe sana wote mliosaidia
Kama itatokea tena naomba unitag please


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
[emoji848][emoji848]
Kwanini umesema hivyo Mkuu
Najitahidi kuchangia tu laiti ningekuwa Nina uwezo wa kuandika kama nyie ningeweka makala mengi tu
Ila nafuatilia sana mijadala ya nyumbani



Sent from my iPhone using Tapatalk
BasibMpwa, kikubwa pumzi
 
Back
Top Bottom