Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
hahahaa why Mpwa??Lazima nikujue kwa neno hili la NEPHEW [emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaa why Mpwa??Lazima nikujue kwa neno hili la NEPHEW [emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using Tapatalk
hahahaa why Mpwa??
Hahahaa humu kila MTU ni Mpwa wangu! Hahahaa kama ilivyo kuwa kwamba kila MTU ni mambo safi....wote hatuna UKIMWISasa ndugu tuliopoteana tukijuana ni shida?
Au wote humu ni ndugu kama tulivyo matajiri?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hahahaa humu kila MTU ni Mpwa wangu! Hahahaa kama ilivyo kuwa kwamba kila MTU ni mambo safi....wote hatuna UKIMWI
Hujaja kazini leo faini inakuhusuHahahaa humu kila MTU ni Mpwa wangu! Hahahaa kama ilivyo kuwa kwamba kila MTU ni mambo safi....wote hatuna UKIMWI
Kabisa...La moyoni hiloo akii
Happy New year my [emoji1780]Kabisa...
Wale wanaosaidia watu "deile" wana koment wapi?Kuonana tu na watu mnaogopa, pesa zao mwazitakia nini?
By the way ishawahi fanyika activity fulani Ocean Road once, mwaka nimesahau
Happy New Year [emoji73], blessings and joy be unto you in 2020Happy New year my [emoji1780]
Muelezee huyo mtu. Umeshamuona? Vithibitisho? Sina kingi lakini tukiweza kuchanga hata 5,000 kwa wingi wetu humu naimani tutafanya kitu kwa huyu mwenzetu.Mimi nilisemaga humu ndani tungekuwa na utaratibu kwa mwaka mara 2 au 3 kuwasaidia wahitaji.
Wengine tunao humu humu wala hakuna hata haja ya kwenda nje Mshanajr embu njoo hapa.
Mtu amepooza, anaishi kijijini kwao yeye ndo alikuwa tegemeo asome amalize udaktari awaokoe wazazi wake lakini ndoto zikaishia njiani yeye sasa hivi ndo anasaidiwa na wazazi tena hali duni inapelekea hata matibabu akose.
Huyu ni wa humu humu ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mimi pia najua huku kuna wahitaji...kama vipi tuwasaidie bila kujali kiwango cha pesa.
Hahahaha, nacheka sababu sitoenda , na wewe huna mualiko
Huu mualiko ningeupata leo ningeufanyia kazi [emoji6][emoji6]