Wazo: WanaJF naomba tufanye shukrani kwa Mungu ya kufunga na kufungia mwaka kwa kutoa msaada kwa wahitaji

Tuanze na Mimi na wewe halafu tutag wengine basi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raynavero,

Yaani watu wanapenda associations associations kupita maelezo

Kila mahali ni ku socialize tu, hamna kazi mfanye mpate hela na familia zenu?

Mtandao wa siri, bado mijitu inataka kukutana sijui isaidiane nini?

Ndio maana Kenya wanatushinda kila kitu. Nhi ambazo hazina ujima wa kufata fata sana zina maendeleo kutuzidi,ila sisi na kufatafata mkiani kama waswahili ndio tunakua nyuma kwenye kila kitu!

Punguzeni, kaeni na familia zenu bwana!

Hivi Nyumba zenu hazikaliki?
 
Wazo zuri sana Raynavero naunga mkono hoja mia kwa mia, wakati wenyewe wa kuonyesha mshikamano na wenzetu wenye uhitaji hasa watoto yatima ndio huu mwanzo wa mwaka, basi ni vema tukaharakisha jambo hili la heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…