AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni