Wazoefu na wabobezi: Nina akiba ya Tsh. Milioni 50 nianze na kipi maishani?

Wazoefu na wabobezi: Nina akiba ya Tsh. Milioni 50 nianze na kipi maishani?

AmKATRINA

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
882
Reaction score
2,044
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Inabidi hio namba 4 uifanyie kazi. Njoo PM tuongee.
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Njoo Jumamosi hii tukutane hapa Msarato kwenye nyama choma nikushauri vizuri
 
tenganisha hiyo hela nusu kwa nusu

nusu tumia kujenga nyumba ndogo ili upate makazi binafsi na ubaki na kumbu kumbu ya hiyo hela

na nusu wekeza kwenye biashara unayoijua sanaaa.. usikubali kuwekeza kwa maneno ya kushauriwa tu , jipe muda wa miezi kazaa uisome biashara hiyo kwa kupeleleza wanaoifanya kisha ndipo uwekeze

pia kuwa msiri sana, usiruhusu mtu yeyote ajue kama una hela cash, maana watakutapeli kwa ushauri wa uongo na kweli

ikiwezekana hama kabisa kwa muda, nenda kakae mbali na watu wanaojua kama una hela
 
kwanza iweke hiyo hela fixed miezi mitatu, ili usiwe na papara kwenye mipango yako.

hela ina tabia ya kuwasha washa, hivyo utashindwa kupanga mipango vizuri huku una hela cash, utakosa utulivu na utajikuta unauziwa vitu vya bei nafuu kwa bei za kubambikiwa
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Kukupa Tobo Sio tatizo,Sehemu za mtaani za kuweka hela zako zenye risk ya kawaida zipo",

Kama Kuna Posho ya kukufungua macho Karibu 0693164886.

Kama Haipo Subiri wengine waje me sisindikizi watu kwenye utajiri Unufaike na Mimi Ni nufaike.
 
Jenga kwanza,Nunua hata pagala limalizie yapo mengi yanauzwa mjini.

Mengine akili yako ikuongoze
 
Back
Top Bottom