Wazoefu na wabobezi: Nina akiba ya Tsh. Milioni 50 nianze na kipi maishani?

Wazoefu na wabobezi: Nina akiba ya Tsh. Milioni 50 nianze na kipi maishani?

Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Tshs 50,000,000.00 = $20,000.00
1: project no. 1: Tafuta location nzuri nunua Bakery ndogo ($4,000+ Sausage maker, ($500.00) + Juice processing ( small business) $1,000.00+ machine ndogo ya kutengeneza ice cream $1,000.00+ machine ndogo ya kutengeneza chips $1,000+ majiko ya kutengeneza chips. Hizo zote ziweke location moja kwenye watu wengi gharama zake zote ni chini ya $10,000.00 pambana nazo zingine $10,000 weka Bank.

2: Fungua mgahawa mkubwa anza kulisha watu ,uwe na wapishi wazuri tumia nusu ya hiyo pesa. Zingine weka Bank

Sijui uko mkoa gani ningekupa projects nyingi zaidi au nitumiye kwenye Private message
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Namba nne vijana wanapita nayo sana.

Nakushauri kimoja.

Tafuta mafundi nyumba au mafundi Rangi wale ambao wameenda shule na ambao hawajeenda shule yaani wale wataani.

Fungua ofisi na ifanye iwe kampuni ya ujenzi utatafuta Kazi lakini siku moja utapita.

Au nenda ZANZIBAR kale urojo utulize wenge Kwanza.
 
Nunua hisa za CRDB za 25m. 25m nyingine tia UTT Bond fund upate 200,000 each month kama faida ya kuendesha maisha mdomdo. Hisa zikitema toa kiasi wekeza tena UTT endeleza mchakato huo baada ya miaka 5 utakuja kunishukuru
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
AmKATRINA njoo tuunganishe nguvu me nna 25m UTT + 50m tayari tuna 75m yetu 😊
Baada ya hapo ntakupa mipango ambayo ndani ya 5 years wasipo tuita Freemasons basi unidai 50m yako
 
Kama uko Dar nenda nje ya mji sehemu za makazi mapya fungua banda la vinywaji mchanganyiko mixer pombe za kienyeji na duka genge kama mil 3 au nne hivi,,,,,,halafu wasikilize sana walevi utapata mawazo ya kila namna na hakuna atakaye fahamu kwamba una fedha,,,
N.B,
Usisahau kuweka supu za makwasukwasu
 
PELEKA 10M FIXED NMB BANK KWA MIEZI 3 FAIDA IPO APO KABLA SIJAKUELEZA IZO 40M...EN SIKIA UMRI WAKO USITEGEMEE SANA KUOLEWA SABABU YA PESA ULIONAYO FAMILIA ITASEMA UMEPATA PESA UMEKIMBILIA WANAUME CC PIA TUPO TU....CHA UMUHIMU USITAKE KUJENGA MJINI NENDA KIBAHA KWA MFIPA CHUO CHA MWALIMU NYERERE KULE KUNA VIWANJA 2.5M SEHEMU NZR SANA UNAPATA KIWANJA CHENYE MADINI YA KUJENGEA TAFUTA RAMANI YA CHUMBA NA SEBULE NA JIKO NDANI KABISA NAAMINI KWA 23.5 UTAKUA NA KAMJENGO KAKALI SANA KWA UWEZO WAKO XO HAPO UTAINGIA TOWN KUTAFUTA MCHONGO WA 5M NI KUBWA SANA KWA BIASHARA NDOGO NDOGO KAMA UWAKALA IVYO CC WENYE 30YEARS PLAN YETU NI HIYAPO.... AmKATRINA
Mkuu naomba contact za wanaouza viwanja maeneo haya. Wale wa makampuni itapendeza.
 
Kila nikiandika nafuta,.
Njoo kwanza tule kitimoto hapa tubadilishane mawazo mawili matatu
Wewe si umetoka kupigwa pesa na sister wa ki-lutheran juzi tu hapo, leo hii unataka kumpa mtu ushauri wa kipesa tena?.
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Una elimu gani kama una degree tuongee
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Mume mtarajiwa niko hapa, unachelewesha watoto wetu kuanza shule wewe.
 
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.

Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.

Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k

Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.

Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.

Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni


Usifanye chochote kwanza hiyo pesa hifadhi bank lakini iwe kwenye fixed acc ya mda mfupi au weka UTT bond fund ambayo utaweza kuitoa yote bila
Masharti yoyote na italidha thaman ya pesa yako

Lengo la kukwambia uhifadhi hiyo pesa kwanza ni kuwa ujipe mda wa kupunguza mihemuko na kimuhemuhe cha kuwa na hiyo pesa ili akili itulie urudi katika akili ya mwanzo iliokupa maarifa ya kukusanya hiyo milioni 5 ulioweka bank.. naamini kabla ya hiyi 5m uliokusanya mdogo mdogo usingehitaji ushauri wa jinsi ya kuitumia sababu kitendo cha kuikusanya mdogo mdogo maana yake kuna ki malengo flan na displine uliiweka.. do not loose that.. ulichonacho sasa ni mihemuko

maana naona unataka kuachana na akili iliokupa milioni tano unataka kuazima akili za wengine ili wakuambie jinsi ya kuitumia milioni 50

Tuliza akili kwanza rudi tafakari je kabla ya hiyo 45m malengo kwenye maisha yako yalikuwa nini. Maana pesa ambazo zinakuja kama sadaka usipotulize akili Zitaondoka bila kutarajia kama zilivyokuja

Simaanishi kuwa watu hawatatoa mawazo mazuri humu ila mawazo ya mtu mwingine yanaweza yasiwe na faida kwako sababu yanaweza yasiendane na mazingira na life sytle unayoishi.. mara nyingi tunaomba ushauri kwa vitu ambavyo tayari tuna experince navyo ili
Tujue tunaboreshaje.. lakini ni hatari kuja kuomba ushauri wa jinsi ya kutumia 50m kwa Mtu ambaye hajui hata ugali wako wa siku unaupataje.. au hasling zako za kila siku zinaendaje ni kama Unabet.

Kumbuka unazungumzia jambo nyeti ambalo litaboresha maisha yako au kukupa msongo wa mawazo

Bahat mbaya Wa TZ na Afrika kwa ujumla hatuna Elimu ya Fedha hatujui thamani ya pesa... hapa ndio watu weupe (wazungu, wahindi na kadhalika) ndio wanatupiga bao.. tunajua pesa ni kwa ajili ya kununulia vitu na huduma tu .. mfumo
Wetu wa maisha na malezi
Kuanzia ngazi ya serikali hadi familia unatufundisha kimatendo na kinadharia jinsi ya ku spend money not on how to manage money..

Kumbuka ""IF YOUR MONEY IS NOT MAKING YOU MONEY, THEN THERE IS A CHANCE YOUR MONEY IS LOOSING YOU MONEY.

Note: usikimbilie kujenga.. belive me kumiliki nyumba sio kipaumbele kama jamii yetu inavyotuaminisha
 
Back
Top Bottom