Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hahah😂😂😂Na kamilion ananikopesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah😂😂😂Na kamilion ananikopesha
Yaan ntapata shida na simwachi kikubwa ninao uaminifu tuHahah😂😂😂
Hatimaye nimepata mke.. uje sasa tuanze maisha kabisaSijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
Kwa milioni 50 hapa anaishia kwenye renta anabaki kujisifia kijiweni amejenga akirudi nyumbani anaumia amezika hela kwenye michanga.Mkuu Fanya hii kitu 👇harafu unakaa unatulia zako unaitwa mama/baba mwenye Nyumba hizi hazikutupi mjini humo mpaka uzeeni unapangisha tu
View attachment 3225382
Ujitahidi sana kuwa makini na mwenye utulivuwa kutosha. Maana utazungukwa na madalali wa kila aina, ili tu waambulie chochote kitu kwenye huo mgao wako.Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Dunia Ni ya wachache na SI ya kila mtu Waoga,Wenye Aibu,Na watu Dhaifu Hawajawahi kuwa na Nafasi Duniani.Na namba umeweka huoni aibu mdau...
Ndugu yangu hadi wewe!!!Inabidi hio namba 4 uifanyie kazi. Njoo PM tuongee.
Mzee Million 50 Kwa sheli Ni ndogo, Na Risk Ni kubwa kwa mtaji huo.50M anaweza kufungua sheli ndogo 🥵
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
UOGA NDIO UNAOFANYA WATU WENGI WAFE NA MAISHA YA KAWAIDA,Wakati unaendelea kutafakari cha kufanya, kwa sasa wekeza UTT wakupe 500k kila mwezi
Kuwa makini kuna mtu hapo juu kaweka namba ya simu nina mashaka nae.
50ml ni pesa ndogo sana ukiwa na WENGE, ila ukituliza kichwa ni hela inatosha kukuondolea UMASIKINI.Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'