Mister mimi
Member
- Apr 29, 2018
- 89
- 106
Nunua fuso (tipa) paki nje unapoishi.hela zitaanza kukufata hapo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kijana ajaribu bahati yake😂😂😂,. Mkono mtupu haulambwiNa namba umeweka huoni aibu mdau...
Miaka 30 hujaolewa na una 50mil kibindoni? Hiyo inatosha kununua mme! Mjoo pm tuyajengeHabarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Wee unajua gharama za ujenzi siku hizi? 50m kujenga na kufanya finishing haitoshi!Mkuu Fanya hii kitu 👇harafu unakaa unatulia zako unaitwa mama/baba mwenye Nyumba hizi hazikutupi mjini humo mpaka uzeeni unapangisha tu
View attachment 3225382
Basi ni hatari mkuuWee unajua gharama za ujenzi siku hizi? 50m kujenga na kufanya finishing haitoshi!
Lazima tujipooze tukiamka tukae sawaKila nikiandika nafuta,.
Njoo kwanza tule kitimoto hapa tubadilishane mawazo mawili matatu
Ndiwo tutoe wenge kwanza mambo mengine yafuateLazima tujipooze tukiamka tukae sawa
Anza na mimi niwe mme wako ndo nikushauri nini cha kufanya mremboHabarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali
Wafanyabiashara,
Washauri wa kazi,
Wajenzi,
Wauza bidhaa mbalimbali,
Madalali,
Wasomi n.k
Sasa nimeleta hoja hii mezani kwenu ili mnishauri nianze na kipi katika hiyo pesa.
Kumbuka hapo
1. Sijajenga
2. Sina kiwanja
3. Sina biashara yoyote
4. Sijaolewa (wanasemaga mume ni asset)
5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'
6. Umri wangu ni miaka 30 na dini yangu ni Mkristo Mkatoliki.
Please wale wa kusema niweke mkeka utoe Odd hapana.
Nahitaji kufanyia mambo ya maana tu.
Naombeni msaada kabla sijajua cha kufanya.
Asanteni
Na kamilion ananikopeshaNdiwo tutoe wenge kwanza mambo mengine yafuate
Samahani mkuu hii ndio kazi gani?5. Kazi yangu ni ya 'kijungujiko'