Wazoefu nipeni ushauri. Shati la kitenge limeleta utata huku

Au kaptura
Utavalia na ile t-shirt yako nzurinzuri[emoji7]
Ngoja nikuonyeshe jinsi watu wanavyopendeza
Kama Ina sense hivi mamito..πŸ€”
Lakini usije nibadilikia ukasema na boksa..πŸ€£πŸ˜‚
 
Kama Ina sense hivi mamito..[emoji848]
Lakini usije nibadilikia ukasema na boksa..[emoji1787][emoji23]
Ngoja nikuonyeshe watu wanavyotokelezea
Mnaoponda vitenge nyie ndio washamba sasa
 
[emoji23]
 
Mkuu inaonekana huyo MTU wako hujampenda sana. Kuna Watu wangevaa hata shati la kanga ili ampate. Watu wanabadili dini yaani full maigizo Ili ampate anaempenda. Akishampata anarudi kwenye asili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…