KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Kama Ina sense hivi mamito..🤔Au kaptura
Utavalia na ile t-shirt yako nzurinzuri[emoji7]
Ngoja nikuonyeshe jinsi watu wanavyopendeza
Lakini usije nibadilikia ukasema na boksa..🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Ina sense hivi mamito..🤔Au kaptura
Utavalia na ile t-shirt yako nzurinzuri[emoji7]
Ngoja nikuonyeshe jinsi watu wanavyopendeza
Ngoja nikuonyeshe watu wanavyotokelezeaKama Ina sense hivi mamito..[emoji848]
Lakini usije nibadilikia ukasema na boksa..[emoji1787][emoji23]
[emoji23]Hahaha, wewe ni mtata....kuna miaka fulani Katibu Mkuu wa W/Viwanda na Biashara alikuwa anawataka wafanyakazi wa wizara yake wavae mavazi kama vitenge siku ya Ijumaa. Wenzako walilazimika kufanya hivyo. "Kaka" wa kutoka hapo wizarani nahisi kipande kingine kitakuwa kwa Katibu Mkuu