Wazungu wana IQ ndogo sana

Wazungu wana IQ ndogo sana

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokuwa handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao.

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
 
Aise, vipi wale wa mto Mara wasomi kutoa ripoti kuwa kinyesi cha mifugo kama ng'ombe kusababisha uchafuzi wa mto Mara ulio kaskazini magharibi mwa Tanzania na kusababisha samaki ndani ya mto huo kufa na kuleta mashaka ya usalama wa watu wanaotumia maji ya Mto huo kwa matumizi mbalimbali ya kila siku.

Mzungu akikupa hiyo research yake ya vita, itakuonesha mpaka result.

Can't disqualify even compare IQ ya mzungu na ya mbongo
 
Hivi ulifikiria wazungu Wana akili Sanaaa kule wenye akili wachache Ndio wanaowafanya wajinga wengi waonekane werevu Kwa sababu ya mifumo imara waliowekewa nje ya hapo wajinga hawatakaa waishe duniani Labda bahari ikauke!

Ila kiukweli akili za wabongo ni too low kusema Ukweli maana tuna vichwa vigumu kuendana na mazingira

Au nasema Uongo ndugu zanguni?
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokua handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.
Liberia, Rwanda, Somalia, Sudan, Afrika ya kati, Cameroon, Mali, Nigeria, Mozambique, Congo,
Tuanze na hapa maana ni migogoro ya muda mrefu bado imetushinda. Usije sema wazungu ndio wanaichochea maana itakuwa inamaanisha kuwa wametushinda akili kiasi kwamba wanatumanipulate na hatuna la kufanya.
 
Aise, vipi wale wa mto Mara wasomi kutoa ripoti kuwa kinyesi cha mifugo kama ng'ombe kusababisha uchafuzi wa mto Mara ulio kaskazini magharibi mwa Tanzania na kusababisha samaki ndani ya mto huo kufa na kuleta mashaka ya usalama wa watu wanaotumia maji ya Mto huo kwa matumizi mbalimbali ya kila siku.

Mzungu akikupa hiyo research yake ya vita, itakuonesha mpaka result.

Can't disqualify even compare IQ ya mzungu na ya mbongo
Hilo Dr. Msukuma alikwishalitolea msimamo
 
Liberia, rwanda, somalia, sudan, afrika ya kati, cameroon, mali, nigeria, mozambique, congo,
Tuanze na hapa maana ni migogoro ya muda mrefu bado imetushinda. Usije sema wazungu ndio wanaichochea maana itakuwa ina maanisha kuwa wametushinda akili kiasi kwamba wanatumanipulate na hatuna la kufanya.
Iko wazi sana, shida hizo zote zinaletwa na wazungu
 
Kwa hivyo hawa wanawake tuliowaoa wanapotuletea shida wametuzidi akili?
Wakileta shida tunazitatua, ukishindwa kakuzidi akili huyo. Kutatua ni pamoja na kuachana naye, kumtafitia kiboko yake, n.k.
Haiwezekani mtu uliyemzidi akili ushindwe kumthibiti. Hao wanakuja Afrika na kufanya wanavyotaka tu kwasababu hatuna la kufanya wametuzidi mikakati.
Ni kama mchezo wa chase.
 
Wasalaam wana JF

Nikitafakari namna mgogoro wa Urusi na Ukraine ulivyokua handled na madhara ambayo wanayapata kwa kujitakia. Ninashawishika bila shaka yoyote kuamini hawa watu wana IQ ndogo sana.

Kipimo cha akili ya mwanadamu ni namna anavyokabiliana na mazingira yake ikiwa ni pamoja na kutatua migogoro kwa akili. Huwezi kumuua mbu kwenye korodani kwa kutumia nyundo.

Mpaka sasa hawa watu wameithibitishia dunia hawana akili na yote wanayo propagated kuhusu watu weusi ni propaganda za chuki zinazoongozwa na insecurities zao

Tusimame pamoja waafrika, hao watu hawana akili na watatuletea madhila makubwa jinsi mambo yanavyoenda.

Isije kuwa unaongelea wazungu wa unga?
 
Back
Top Bottom